Anayejua Kero 11 za Muungano zilizotatuliwa na kilichotatuliwa atuambie. Rais hakusema kwa undani

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Raisi Samia akisema kuwa katatua Kero 11 za muungano zilizokuwa zinasumbua. Hakuzitaja zote 11 na hakueleza kilichokuwa kinasumbua hizo Kero hasa ni Nini kwa undani na kilichotatuluwa hasa ni Nini .

Wananchi ni vizuri tukaelezwa sababu huu muungano ni wetu wananchi

Kwa faida ya wananchi anayejua hizo Kero 11 kabla zilikuwaje na kilichotatuliwa hasa ni Nini atueleze kwa undani sababu hotuba yake haikuingia kwa undani wakati ni Jambo nyeti lililotakiwa liwemo kwa undani kwenye hotuba .

Anayejua atusaidie kwenye hili
 
Tukisema tunaitaka katiba mpya inayoitambua Tanganyika, nyie ndio huwa mnatupinga, mnatuitia na polisi
Katiba mpya ndio suluhisho la haya maana itauvunja huu muungano wa kimagumashi.

Mtanganyika haruhusiwi kumiliki hata kipande cha ardhi Zanzibar ukiachilia kupewa uongozi hata wa nyumba 2, ajabu Mzanzibari anapewa nafasi ya kuwatawala watanganyika na kuwapangia jinsi ya kuishi, halafu kuna mataahira yanashangilia eti apewe hadi 2030. Uliwahi kusikia wapi hapa Duniani raia wa taifa moja anapewa nafasi kutawwla taifa lingine, wapi?
 
Raisi Samia akisema kuwa katatua Kero 11 za muungano zilizokuwa zinasumbua .Hakuzitaja zote 11 na hakueleza kilichokuwa kinasumbua hizo Kero hasa ni Nini kwa undani na kilichotatuluwa hasa ni Nini .

Wananchi ni vizuri tukaelezwa sababu huu muungano ni wetu wananchi

Kwa faida ya wananchi anayejua hizo Kero 11 kabla zilikuwaje na kilichotatuluwa hasa ni Nini atueleze kwa undani sababu hotuba yake haikuingia kwa undani wakati ni Jambo nyeti lililotakiwa liwemo kwa undani kwenye hotuba .

Anayejua atusaidie kwenye hili
Mkuu hapo kuna siasa tu
 
Wenzako Jumbe Brown CM 1774858 na Lord denning wanafahamu vizuri, waulize ukikutana nao kwenye korido za Lumumba
Mambo ya muungano sio siri za vyumbani yaweke hapa yanahusu wananchi wote wa pande zote za muungano ili kujua hayo yaliyotatatuliwa kama ni fursa zimefunguka mfano mtanzania bara aruhusiwa kumiliki ardhi zanzibar au kugombea baraza la wawakilishi na usheha tujue na watanzania wote wajue

kama mnzanzibari anaruhusiwa kuwa waziri wa TAMISEMI tujue

nauliza sababu kero zilizoondolewa wananchi wakijua watajua jinsi ya kuzifaidi hazitakiwi kuwa vyumbani na kwenye mafaili!!! ya confidential!!! Raisi kasema hadharani ziwekwe hadharani

Hii itapunguza pia kelele za upinzani kutaka katiba mpya sababu waweza kuta yanayolalamikiwa yametatuliwa kwenye hizo kero sasa kukaa kimya bila kuweka hadharani ili iweje?
 
Hakuna swali hapo bali kuna kioja
Nakumbuka chuoni kulikuwa na mwanachuo mjuaji kama wewe ukiuliza swali anacheka kukuponda kuwa hujauliza swali la maana

Kulikuwa na mwalimu mhindi siku hiyo akamwibukia akamfukuza darasani akamwambia shut up stupid ,he is asking me not you.Toka siku hiyo hakukatisha tena

Majibu kama yako yamejificha kwenye ujinga hapo ulipo jibu huna unajificha kwenye ujuaji hewa!! jibu basi hizo kero 11 ni zipi ?

Anyway swali nimelipeleka kwa wanaojua jibu .Kama huna Can you shut up please? upishe wanaojua wajibu?
 
Mambo ya muungano sio siri za vyumbani yaweke hapa yanahusu wananchi wote wa pande zote za muungano ili kujua hayo yaliyotatatuliwa kama ni fursa zimefunguka mfano mtanzania bara aruhusiwa kumiliki ardhi zanzibar au kugombea baraza la wawakilishi na usheha tujue na watanzania wote wajue

kama mnzanzibari anaruhusiwa kuwa waziri wa TAMISEMI tujue

nauliza sababu kero zilizoondolewa wananchi wakijua watajua jinsi ya kuzifaidi hazitakiwi kuwa vyumbani na kwenye mafaili!!! ya confidential!!! Raisi kasema hadharani ziwekwe hadharani

Hii itapunguza pia kelele za upinzani kutaka katiba mpya sababu waweza kuta yanayolalamikiwa yametatuliwa kwenye hizo kero sasa kukaa kimya bila kuweka hadharani ili iweje?
Good
 
Madai ya katiba mpya ni zaidi ya kero za muungano, hata kero zote za muungano zikitatuliwa watu wataendelea kudai katiba mpya.
Mambo ya muungano sio siri za vyumbani yaweke hapa yanahusu wananchi wote wa pande zote za muungano ili kujua hayo yaliyotatatuliwa kama ni fursa zimefunguka mfano mtanzania bara aruhusiwa kumiliki ardhi zanzibar au kugombea baraza la wawakilishi na usheha tujue na watanzania wote wajue

kama mnzanzibari anaruhusiwa kuwa waziri wa TAMISEMI tujue

nauliza sababu kero zilizoondolewa wananchi wakijua watajua jinsi ya kuzifaidi hazitakiwi kuwa vyumbani na kwenye mafaili!!! ya confidential!!! Raisi kasema hadharani ziwekwe hadharani

Hii itapunguza pia kelele za upinzani kutaka katiba mpya sababu waweza kuta yanayolalamikiwa yametatuliwa kwenye hizo kero sasa kukaa kimya bila kuweka hadharani ili iweje?
 
Madai ya katiba mpya ni zaidi ya kero za muungano, hata kero zote za muungano zikitatuliwa watu wataendelea kudai katiba mpya.
Hapi Ndipo hueleweki kero zote za muungano zikiondoka hiyo katiba utaongelea katiba mpya ipi? Mfano ya Tanganyika au ya Zanzibar au ya muungano? Unajua umekaririshwa vitu hata hujielewi
 
Katiba mpya ya tume huru ya uchaguzi, uhuru wa mihimili, ugatuzi wa madaraka na urais usio wa kifalme.
Hapi Ndipo hueleweki kero zote za muungano zikiondoka hiyo katiba utaongelea katiba mpya ipi? Mfano ya Tanganyika au ya Zanzibar au ya muungano? Unajua umekaririshwa vitu hata hujielewi
 
Back
Top Bottom