brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
Uza bangi
Niko serious tukiwa Na vijana watano Na kila kijana auze barafu shuleni zipatazo 200 kwa bei ya sh.100 kwa siku nibei gani? We nicheki tufanye kazi acha ubishoooWe jamaa nimekupenda bure, inaoneka una roho ya huruma sana, Mungu awakutanishe na muelewane na biashara iwaendee vizuri kama atakubali kuungana nawe katika hiyo biashara
Njoo njombe nikusindikize kwa mtaalamu baada ya hapo we mwenyewe utanitafuta kuja kunipa shukran Onyo vsiwe muoga
nmeipenda hii kaziOsha magari mkuu utapata hiyo pesa kirahisi
Fala wewe ndio akili yako ilipoishia kufikiria?Wabena ni watu hatari sana,wakinya kaa mbali nao kabisa,badiri kabila na kazi utapata
Namshangaa huyu kenge anatupa sifa zisizo zetu!Wabena hawana sifa hiyo ndugu yangu, Wabena ni watu safi sana.....waaminifu, wachapa kazi na hawana tamaa za kijinga.
Wabena ni watu hatari sana,wakinya kaa mbali nao kabisa,badiri kabila na kazi utapata
Kila kitu mnachukuliaga utani tu.... kasema kazi iwe halali kwa mujibu wa sheria ya Tz...Uza bangi
Ila amesema kama una nia umtafute PM sasa sijui kama hili wazo lako atalifanyia kazi maana umeliweka hapa sebuleni.Njoo tuuze barafu tutapiga hela ntafute 0769630209
Mbona hii kazi sio ya kutafutiwa ni ww kwenda kilingeni au sehemu zenye parking za magari.nmeipenda hii kazi
unaweza kunitafutia
Na pia abadili jina la jamii forum maana hamna atakaekuajiri ikiwa cfayako ni ya jina hilo.Hivi kuna kazi spesho ya kukupa 10000 au 15000 per day,? kila kitu ni maelewano mkuu.
Kuna kazi nyingine unaweza kupata zaidi ya hiyo au pungufu ya hiyo, anyway ngoja waje wengine.
Masharti na vigezo ndo ku fail kwa watanzaniaIla amesema kama una nia umtafute PM sasa sijui kama hili wazo lako atalifanyia kazi maana umeliweka hapa sebuleni.