Anayejua kanuni za uongozi wa juu serikalini atawapongeza CHADEMA

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,664
22,255
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa juu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
 
Nimefarijika na maneno yako japo KWA nn cdm ba wao wasingetembea na options zote
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote huko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM napokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
 
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
Mbona wewe ni mzito wa kuelewa kanuni za utumishi wa umma ngazi za juu. A former Prime Minister will never walk alone. Kutokana na will never walk alone hauwezi kumkabidhi chama. Kwanini CCM inang'ang'ania mhe. Sumaye akabidhiwe Chadema!
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote huko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Mawaziri wakuu wengine waliokatwa na CHADEMA ni Chacha Wangwe, Walid Kaburu, Zitto Kabwe, Said Arfi, Kitila Mkumbo, Samson Mwigamba
 
Ndio maana nikasema Wenye Akili wataelewa nilichoandika ingawa hata ujinga nao ni vizuri kuusikiliza kuna siku utakusaidia.
Mbona wewe ni mzito wa kuelewa kanuni za utumishi wa umma ngazi za juu. A former Prime Minister will never walk alone. Kutokana na will never walk alone hauwezi kumkabidhi chama. Kwanini CCM inang'ang'ania mhe. Sumaye akabidhiwe Chadema!
 
Wakati anahamia CDM hamkujua hata?
Katiba ya Chadema inasemaje kuhusu mgombea wa uwenyekiti?
 
Mawaziri wakuu wengine waliokatwa na CHADEMA ni Chacha Wangwe, Walid Kaburu, Zitto Kabwe, Said Arfi, Kitila Mkumbo, Samson Mwigamba
Kiongozi wewe ni bonge la mkorofi! Hadi nimecheka.
Tujiulize hao nao ni ........ will never walk alone?
Issue pale ni UENYEKITI
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Mimi naunga mkono sumaye kupigwa chini ktk uchaguzi pia kujitoa chamani, uyu alikuwa mpango was ccm kuiumiza chadema.
Kawaida sumaye alianzia utaratibu wa chipukizi wa ccm, akaja akawa uvccm, kapitia post mbali mbali za ccm, leo kaja chadema miaka mitano anataka uenyekiti taifa??
Chadema are not that foolish. Aliyewaza ingewezekana ni foolishccm
 
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
Ushuzi mtupu
 
Sie wana ccm tumefurahi maana alikiwa kimbelembele kuinanga ccm, tulitaka ajute kuifahamu chadema. isipokuwa waliofadhaika ni wanademokrasia wa kweli ndani ya chadema akiwemo prof safari na kina mnyika ambao hawawezi kuongea.
 
WanaCCM wanaoshabikia Sumaye kuukosa uongozi wa huu CHADEMA wamefadhaika lengo lao kukwama. Sumaye angetaka kuonesha uaminifu wake CHADEMA angetumia muda mrefu kuwa mshauri wa chama hicho ili ajijengee uaminifu usio na shaka.

Sumaye alipokuwa Waziri Mkuu alikula viapo Serikalini kuhusu kuhifadhi siri za Serikali na viapo hivyo ni vya kudumu mpaka mwisho wa uhai wake hivyo mchango wake kwa CHADEMA itakuwa wa kawaida na wenye mashaka kumpa nafasi ya juu kabisa ya chama.

Lazima tujue kuwa Sumaye muda wote yuko chini ya uangalizi maalum wa huko alikotoka kuhusu viapo vyake, (like strangers but do not trust them)

CCM walikosea sana kutumia juhudi nyingi sana kuhakikisha Sumaye anashika chama ili waweze kujipenyeza na kukiua chama, juhudi hizo ndizo zilizowaamsha wanachadema na kuwa na shaka isiyo na shaka.

Mwisho ningetegemea baada ya kuukosa uongozi wa juu kabisa yeye asingejitoa ili aweze kujijengea uaminifu wa ziada na kuonesha uhalali wa kuchgua na kuchaguliwa, angewauliza wale wanaoshabikia kuwa lazima ashinde nafasi ya juu ya CHADEMA walitaka nani asishinde na kama ni hivyo kwanini walifanya uchaguzi badala ya kuteuliana.

CCM mnapokuwa na projekti nyeti msijioneshe wazi mkaleta mashaka.
Yule dogo wa kanda ya kusini, alisifiwa na mwenyekiti wa ccm alafu. eti naye anataka demokrasia ndani ya chama
 
Msipotoshe ukweli, huyu Mzee FS na EL kwa wanaofahamu walipatanishwa na maaskofu wao na kusameheana kwa lengo la kuunganisha nguvu ili Zamu yao ya kutawala Tanzania itimie, rejeeni kikao cha ndani Tabora,(HII NI ZAMU YETU) hivyo wakaungana pamoja na ukaskazini na udini pia, kitendo cha Mzee EL kurudi ccm angali anatumainiwa CDM ghafla kukaonyesha Mbowe na genge lake wasiuone umuhimu wa FS ndani ya CDM hivyo yaliyotokea asisingiziwe mtu ila FS hauziki mzee wa watu, na hataweza figisu za huko ni Heri amefanya Jambo jema kupumzika, usione Maaskofu wao kila mara na waraka wa kulaumu serikali hali hii hawakuitegemea kabisa.
CCM isilaumiwe kwa lolote hapo, na ni muda mzuri kuonyesha CDM ni kampuni ya watu kwa kivuli cha demokrasia,wenye akili wataelewa.
Tuwe na akiba ya maneno muda utaongea.
POVU RUKSA.
Kwa hiyo chama ni act na tlp
 
Watanzania tunaburuzwa sana bila kujua kibaya miongoni mwetu kuna wanaodhani wanaelewa mambo jinsi yanavyokwenda.
 
Back
Top Bottom