monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 943
Habari wakuu, Mara nyingi nnapopitia mitandao ya kijamii au nnapo-search google huwa nakutana na Habari Fulani lakini huwa nashindwa kumaliza kuzisoma kutokana na majukumu ya hapa na pale ama urefu wa taarifa hiyo.
Hivyo kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kukopi taarifa furani na kuwa offline au ku-convert na kuwa mfumo wa PDF anifahamishe tafazali
Hivyo kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kukopi taarifa furani na kuwa offline au ku-convert na kuwa mfumo wa PDF anifahamishe tafazali