Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,652
- 8,583
CM 17749858 kwanza nikopongeze kwa jitihada zako za kuitetea Awamu ya Sita. Sisi wana CCM wengine tumeamua kuwa sceptical.Amani iwe nanyi wanaJf,
||Leo nilikuwa napitia hotuba na machapisho mbalimbali ya Rais wetu kipenzi Hayati Dk Johnb John Joseph Pombe Magufuli kunajambo naomba wenye ufahamu watusaidie japo na mimi nitachagiza kidogo kwa uelewa nilionao||
||Kwenye hotuba zake karibu zote Katika kila alichotamka kwa idadi alijilinganisha na Rais wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na yeye mara zote aliibuka kuwa mshindi na hadhira wakati wote ilimshangilia kwa nderemo na vifijo,fine||
HOJA YANGU HII HAPA,
______________________
1. Je! Hayati Rais Magufuli alilenga kuonesha kuwa Mzee Kikwete hakufanya lolote au aliamini katika "Comparative analysis|advantage" kama njia bora zaidi ya kuelezea ubora wa mtu |kitu? ili kuisaidia hadhira husika kutambua vizuri "Ilikotoka, Iliko na inakokwenda ?
2. Je! Wale tunaoiga mtindo huu mzuri wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli wa kutumia "Comparative advantage " dhidi yake yeye mwenyewe na Rais aliyeko madarakani yaani Rais Samia Suluhu Hassan tunamkosea Hayati Rais Dkt John John Joseph Pombe Mafuli ?!
Kwa ufahamu wangu, sikweli kwamba Hayati Rais Magufuli alilenga kuonesha Mzee Jakaya Kikwete hakufanya lolote laa hasha ila alitaka wananchi tuelewe zaidi tulikotoka,tulipo na tunapokwenda vivyo hivyo wanaotumia " Comparative analysis " dhidi ya Hayati Rais Magufuli na Rais Samia nadhani nawao wanamaana ileile aliyokuwanayo Hayati Dk John John Pombe Magufuli,
Angalia hizi picha,nilikozungushia ni refence ya mwaka 2015 aliyoifanya Hayati Dk John John Joseph Pombe Magufuli dhidi ya Mzee Jakaya Mrisho Kikwete,
View attachment 2000783
View attachment 2000784
View attachment 2000785
View attachment 2000786