Anayejua gharama za kulazwa MOI kwa bima ya NSSF naomba anijuze

igogondwa

JF-Expert Member
Aug 1, 2021
2,590
3,346
Wana jamvi naomba kujua gharama za kitanda kwa mgonjwa aliyelazwa general ward pale MOI kwa bima ya afya ya NSSF... Wenyewe ukiwauliza majibu unayopewa ni subiri siku akitolewa utajulishwa. Sasa changamoto ya bima ya afya ya NSSF ni kwamba kiwango cha mwisho cha malipo yanaweza kuwa covered na bima ni milioni tatu. So ningependa kujua mapema, maana Kuna jamaa kaniambia eti kwa hiyo bima gharama za kitanda pekee ni laki moja kwa siku, bado gharama za madaktari, manesi etc...
 
Ukiona umepokelewa na wameanza kukupa huduma hapo kazi yako ni kuugua pole tu uwe na amani
Mkuu amani itoke wapi sasa ambapo nimeletewa bili ya karibia milioni Sita kwa siku 32 za mgonjwa kuwa wodini? Bima italipa milioni tatu tuu na zingine mgonjwa anatakiwa kulipa mwenyewe... Imagine eti gharama ya Kitanda kwa siku ni laki moja daah... Mgonjwa mwenyewe ni Mstaafu...
 
Mkuu amani itoke wapi sasa ambapo nimeletewa bili ya karibia milioni Sita kwa siku 32 za mgonjwa kuwa wodini? Bima italipa milioni tatu tuu na zingine mgonjwa anatakiwa kulipa mwenyewe... Imagine eti gharama ya Kitanda kwa siku ni laki moja daah... Mgonjwa mwenyewe ni Mstaafu...
Kama ni laki kwa siku 32 ni Mil 3.2 milioni 6 imetoka wapi?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu amani itoke wapi sasa ambapo nimeletewa bili ya karibia milioni Sita kwa siku 32 za mgonjwa kuwa wodini? Bima italipa milioni tatu tuu na zingine mgonjwa anatakiwa kulipa mwenyewe... Imagine eti gharama ya Kitanda kwa siku ni laki moja daah... Mgonjwa mwenyewe ni Mstaafu...
Dawa hapo hakuna kulipa hata kumi, sepa zako, mgonjwa awaambie kabisa wahusika hana pesa na hatalipa hata kumi na ang'ang'anie kuruhusiwa mapema la sivyo atapachomesha mitandaoni na kwa wanasiasa kuwa mstaafu anateswa MOI. Hospitali watakaa naye hapo siku mbili tatu kisha watamruhusu.
 
Dawa hapo hakuna kulipa hata kumi, sepa zako, mgonjwa awaambie kabisa wahusika hana pesa na hatalipa hata kumi na ang'ang'anie kuruhusiwa mapema la sivyo atapachomesha mitandaoni na kwa wanasiasa kuwa mstaafu anateswa MOI. Hospitali watakaa naye hapo siku mbili tatu kisha watamruhusu.
Mkuu nilichojifunza katika kipindi chote cha kumuuguza mgonjwa wangu ni kwamba BIMA ya afya, hasa NSSF inadharauliwa sana mpaka kwa wahudumu wa pale. Imagine unaambiwa kalipe cash ili kuepuka usumbufu na huyu anayekuambia hivyo ni staff wa hospital. Sasa Najiuliza wakati serikali inahamasisha bima lakini huko mahospitalini hali iko hivyo. Kitu kingine nilichojifunza ni kwamba hata kama unadaiwa milioni tano na bima yako ikalipia milioni tatu bado huo mchango wako wa milioni tatu wao hawauelewi au kuutambua, wanakomaa tuu kwamba wapate angalau kiasi fulani kwa cash (yaani katika Ile balance ya milioni mbili upunguze tena walau nusu!!). Mwisho sijui ni kwa nini NSSF na kujinadi koote huko kuwa wana mafao mazuri kwa wanachama wao hawajihangaishi kufuatilia hizi gharama na kuwajulisha members wake wajue cost implications kwenye haya mahospitali. Yaani kitanda tuu cha wodini unalipa laki moja kweli???
 
Mkuu nilichojifunza katika kipindi chote cha kumuuguza mgonjwa wangu ni kwamba BIMA ya afya, hasa NSSF inadharauliwa sana mpaka kwa wahudumu wa pale. Imagine unaambiwa kalipe cash ili kuepuka usumbufu na huyu anayekuambia hivyo ni staff wa hospital. Sasa Najiuliza wakati serikali inahamasisha bima lakini huko mahospitalini hali iko hivyo. Kitu kingine nilichojifunza ni kwamba hata kama unadaiwa milioni tano na bima yako ikalipia milioni tatu bado huo mchango wako wa milioni tatu wao hawauelewi au kuutambua, wanakomaa tuu kwamba wapate angalau kiasi fulani kwa cash (yaani katika Ile balance ya milioni mbili upunguze tena walau nusu!!). Mwisho sijui ni kwa nini NSSF na kujinadi koote huko kuwa wana mafao mazuri kwa wanachama wao hawajihangaishi kufuatilia hizi gharama na kuwajulisha members wake wajue cost implications kwenye haya mahospitali. Yaani kitanda tuu cha wodini unalipa laki moja kweli???
izo bima ni kanjanja, ziko kimaslahi, uku ukiliwa wewe
 
Mkuu nilichojifunza katika kipindi chote cha kumuuguza mgonjwa wangu ni kwamba BIMA ya afya, hasa NSSF inadharauliwa sana mpaka kwa wahudumu wa pale. Imagine unaambiwa kalipe cash ili kuepuka usumbufu na huyu anayekuambia hivyo ni staff wa hospital. Sasa Najiuliza wakati serikali inahamasisha bima lakini huko mahospitalini hali iko hivyo. Kitu kingine nilichojifunza ni kwamba hata kama unadaiwa milioni tano na bima yako ikalipia milioni tatu bado huo mchango wako wa milioni tatu wao hawauelewi au kuutambua, wanakomaa tuu kwamba wapate angalau kiasi fulani kwa cash (yaani katika Ile balance ya milioni mbili upunguze tena walau nusu!!). Mwisho sijui ni kwa nini NSSF na kujinadi koote huko kuwa wana mafao mazuri kwa wanachama wao hawajihangaishi kufuatilia hizi gharama na kuwajulisha members wake wajue cost implications kwenye haya mahospitali. Yaani kitanda tuu cha wodini unalipa laki moja kweli???
Mkuu, kuna vitu hujavijua ndio maana umepaniki.

Hospitali siku hizi zinajiendesha kwa mapato yao, yawezekana ndio maana wanakomalia mapato.
 
Mkuu, kuna vitu hujavijua ndio maana umepaniki.

Hospitali siku hizi zinajiendesha kwa mapato yao, yawezekana ndio maana wanakomalia mapato.
MOI taasisi za kiserikali zinajiendesha kwa kutegemea mapato yao!

Na nini maana na tafsiri sahihi ya Bima?
 
Wana jamvi naomba kujua gharama za kitanda kwa mgonjwa aliyelazwa general ward pale MOI kwa bima ya afya ya NSSF... Wenyewe ukiwauliza majibu unayopewa ni subiri siku akitolewa utajulishwa. Sasa changamoto ya bima ya afya ya NSSF ni kwamba kiwango cha mwisho cha malipo yanaweza kuwa covered na bima ni milioni tatu. So ningependa kujua mapema, maana Kuna jamaa kaniambia eti kwa hiyo bima gharama za kitanda pekee ni laki moja kwa siku, bado gharama za madaktari, manesi etc...
Ebwana mambo aje, nimefatilia hii issue pia ngoja na mm niseme kidogo hapa, kwa uelewa wangu ni kwamba kabla haujafika hapo MOI, ulitakiwa kwanza kwenda katika Hospitali uliyoichagua kwa ajili ya matibabu pale baada ya kueleza tatizo lako, watakuchorea barua ambayo utaipeleka kama rufaa MOI, baada ya hapo MOI watakupa Gharama sasa hicho utakachoandikiwa MOI ndio utaenda nacho NSsF kwa ajili ya kibali ndio ivyo simpo tu
 
Back
Top Bottom