Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Lengo ni kupunguza uzalishaji wa acids na kiwango cha acid (increasing pH) tumboni. Hivyo management ifuatayo itafaa:

• Kutumia dawa ambazo zinajulikana kama antiacids

• Kuzingatia ratiba (muda) wa chakula

• Kuepuka vyakula na vinywaji vyenye acids kwa wingi, n.k.

+ Ratiba ya chakula
Breakfast: 0600-0800 Hours
Lunch: 1200-1400 Hours
Dinner: 1830-2000 Hours

+ Kulala baada ya walau masaa mawili baada ya kula chakula cha usiku.

+ Kutumia mto utakaoinua kichwa kwa sentimita 15-20 wakati wa kulala

+ Kutokula vyakula vyenye majimaji mengi sana wakati wa usiku

+ Kuepuka vyakula vyenye:
> Mafuta mengi
> Chumvi nyingi na sukari nyingi
> Viungo/vikolezo/nyanya nyingi, n.k.
> Kahawa

+ Kuepuka matunda yafuatayo:
> Parachichi
> Ndizi mbivu
> Matunda jamii ya machungwa
> Matunda yenye uchachu

+ Kuepuka vinywaji vifuatavyo:
> Carbonated drinks zote (soda, juisi za kopo, n.k.)
> Maziwa
> Malta
> Energy drinks
> Red bull
> Ice cream

Note: Wagonjwa wote wa vidonda vya tumbo, bila kujali chanzo kama ni acids au H. pylori, wanapaswa kuepuka dawa zifuatazo: diclofenac, ibuprofen, diclopar na aspirin.
Mkuu nakushukuru sana sana ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
a
REVITAL HEALTH CARE
ULCER TREATMENT

Get raw pawpaw and wash it. It must be raw, not ripe
Do not peel it and do not remove the seeds.

After washing the outside neatly, slice it without peeling it into small small pieces. The cutting should be small like sugar cubes.

Put all the small pieces of the raw pawpaw into any clean container.

Fill the container with water to stop at the same point the sliced pawpaw stopped.
Leave the pawpaw in the water for four days. For example if u soak it on a Monday, count Tuesday, Wednesday, Thursday and Friday will be the fourth day.

On the Fourth day, the water will be looking white in colour. Seive it and throw away the pawpaw and the water becomes your cure for ulcer.

DOSAGE: drink half a glass of the pawpaw water every morning, afternoon and evening. You will no longer feel those ulcer pains because it will heal the wounds inside that are causing the pain.

This morning, afternoon and evening drinking of the pawpaw water can continue for weeks and months depending on how severe the ulcer is. It is not relief. It is a cure.

Additional note: an ulcer is an internal wound usually in the stomach or intestines.

Common causes of ulcer are infection with the bacterium Helicobacter pylori (H. pylori) and long-term use of aspirin and certain other painkillers, such as ibuprofen (Advil, Motrin, others) and naproxen sodium (Aleve, Anaprox, others). Stress and spicy foods do not cause peptic ulcers. However, they can make your symptoms worse.

Pls avoid taking strong pain killers without prescription. If you take time to read the side effects you will see that the drugs for pain relief cause ulcer or wounds in the body.

This treatment mentioned is not a reason not to go to hospital, because not all internal pains are ulcers.
Let someone know and help someone get cured today.
 
Tumia ushauri wa Paulo kwa Timoteo kama hiyo ulcers ni ya muda mrefu, wengi wamepona kwa kufuata ushauri wa Paulo kwa Timoteo, lakini ni kwa ulcers ya muda mrefu tu, ndio inafanya kazi, usipuuze Paulo alikaa na Luka daktari mzuri kwa muda mrefu hivyo alikuwa anamuona anapotoa dawa zake na kuona wagonjwa wenye matatizo ya tumbo wakipona
 
Dawa ya vidonda vya tumbo inahitajika. Dada yangu amekuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo. Amekuwa anatumia dawa za asili na wakati mwingine zile za kisasa hupunguza maumivu wakati vidonda vinasumbua sana.

Kuna wakati kulikuwa na tangazo la dawa ya NITROGEL samahani kama nitakuwa nimekosea kuiandika. Ilikuwa ikitangazwa sana na kituo cha Tv ya Channel Ten.

Mwenye kujua hii dawa inapatikanaje hapa Tanzania naomba umwagike hapa tupate elimu tosha.
 
Tumia ushauri wa Paulo kwa Timoteo kama hiyo ulcers ni ya muda mrefu, wengi wamepona kwa kufuata ushauri wa Paulo kwa Timoteo, lakini ni kwa ulcers ya muda mrefu tu, ndio inafanya kazi, usipuuze Paulo alikaa na Luka daktari mzuri kwa muda mrefu hivyo alikuwa anamuona anapotoa dawa zake na kuona wagonjwa wenye matatizo ya tumbo wakipona
Ndio upi huo mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ya vidonda vya tumbo inahitajika. Dada yangu amekuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo. Amekuwa anatumia dawa za asili na wakati mwingine zile za kisasa hupunguza maumivu wakati vidonda vinasumbua sana.

Kuna wakati kulikuwa na tangazo la dawa ya NITROGEL samahani kama nitakuwa nimekosea kuiandika. Ilikuwa ikitangazwa sana na kituo cha Tv ya Channel Ten.

Mwenye kujua hii dawa inapatikanaje hapa Tanzania naomba umwagike hapa tupate elimu tosha.
Tafuta hiyo iwapo ni H. pilory
IMG-20200121-WA0067.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom