4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
Yoo hii kali right? Nipe bei best
Kali sana is one of the best kwa wadada... Back then ilikuwa 330k sijajua kwa sasa... Kuna duka lipo pale City Mall linaitwa Alrahma PerfumeYoo hii kali right? Nipe bei best
Halafu pafyume za kiume ndo zina utuli mzuri kuliko za kikewhy?
😂 😂 😂Sisi ndio tunaong'oa pisi kali za under 18
Haya madude yana classes 3. Ukitaka vitu vya kueleweka nunua maduka makubwa ya Wahindi au Super markets za kishua. Ukienda kwa Mangi, Muha au Mkinga lazima upigwe na kitu class 3 au 2Habari, nimeulizia hiyo dark fever nimeambiwa ni 20,000/=
Kwa hiyo bei ya 12,000 wanauza wapi mkuu
Mkuu nimechoka kutumia spray, nataka nihamie kwenye perfume bila kujali bei yake, Vipi hiyo blue channel iko vizuri na harufu yake haikeri?Ongeza 25k kwenye hivyo vijisenti vyako ununue blue channel, mabinti watakuwa wanaomba makumbatio yako kama wewe ni mrefu
Mkuu hii ni nzuri sana eeeh?Wapi naweza pata blue channel kwa hapa Dar?
Magereza sasa hivi wameweka Air-condition na 6*6 na massage kama zoteSisi ndio tunaong'oa pisi kali za under 18
Tumia udi unafukiza mpaka p.mbMkuu nimechoka kutumia spray, nataka nihamie kwenye perfume bila kujali bei yake, Vipi hiyo blue channel iko vizuri na harufu yake haikeri?
Natumia spray yake.Tafuta axe apolo iwe spray au perfume hutojutia
Vipi harufu yake mkuu, sio kali?Perfume na body spray yake kwa 17k tu mzigo upo mikononi harufu yake ni nzuri haikeri
Ngoja nijipulizie nikajaribu kumtongoza mtoto mzuri emmy nitareta mrejesho!! View attachment 1706251View attachment 1706252
List mjarabuu kabisa......weka mbali na waremboNgoja mm nikupe list hapa Kazi iwe kwako kuumiza AKILI lkn nukuu ongezea iyo pesa yako Ndugu yang .Nukuu hautokuja kujutia ukitumia hizi bidhaa
Changamoto zake ni kusumbuliwa na wadada
1.Brown orchid
2.Echo
3.Versace
4.Zara
5.Dior
6.GreedAventus sio ile og.
7.Axe polo
8.Hayaat
9.Dark fever
10. Dirham
Mkuuu moja Kati ya hizi bidhaa ni kwere inkaa kwenye nguo 24hours na zaid depends na mazingira unashinda ww
Mademu nje nje huvutiwa na zile harufu quite and smooth haikeri .Sijaweka bei lkn angalau uwe na 25k utaopoa mojawapo kila la kheri katika Safar ya kuwa gentleman
10-12 ni bei ya jumla ila rejareja wanauza 17-20Habari, nimeulizia hiyo dark fever nimeambiwa ni 20,000/=
Kwa hiyo bei ya 12,000 wanauza wapi mkuu
Kuna dark fever ya kike ijaribuHii dark fever imepigiwa promo ila bei yake iko chini mnoo halafu ya kiume eti
Za kike please
Pafyume za kike sizitakiKuna dark fever ya kike ijaribu
Mkuu! Kumbe Na wewe Mdau Pale? Halafu Jamaa Bei Zake Ni Rafiki MnoKali sana is one of the best kwa wadada... Back then ilikuwa 330k sijajua kwa sasa... Kuna duka lipo pale City Mall linaitwa Alrahma Perfume
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Ni kweliHaya madude yana classes 3. Ukitaka vitu vya kueleweka nunua maduka makubwa ya Wahindi au Super markets za kishua. Ukienda kwa Mangi, Muha au Mkinga lazima upigwe na kitu class 3 au 2