Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Wakati huo wanataka uhuru wa Vyombo vya habari wakati huo wanachukizwa na habari wasizozipenda wao waliochukizwa ni wao au Mabeberu yamewafanya wawe maspika maana kwa mtanzania mzalendo mwenye akili timamu lazima atambue mazuri yaliyofanyika kwenye Sekta ya Madini nadhani hawa watu hawatumii akili yao kufikiria ni akili ya Mabeberu ACCACIA yameunganisha nyaya wao wanaropoka ropoka tu