ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 484
Kwa miaka zaidi ya mitatu nimekuwa nikikutana na kakikundi ka watoto wadogo kwenye maharusi na kumbi mbali mbali hapa Dar wakijitambulisha kama yatima na uanza kutumbuiza na kutuzwa.
Tatizo liko wapi? Hawa watoto inaonekana ndio shughuli yao angalau mala 2 kwa wiki, yaani send off alhamisi/ijumaa na weddings Jumamosi, je wanapata wapi muda wa kusoma na kupumzika? Nani anawaandaa nakuwaleta kwenye hizi kumbi? Kwanini wawe ndio wahudumiaji wa kituo tena kwa kutumikishwa usiku mrefu? Nina imani mwenye kituo anapata misaada kutoka sehemu mbalimbali kwa mgongo wa hawa watoto.
Tatizo liko wapi? Hawa watoto inaonekana ndio shughuli yao angalau mala 2 kwa wiki, yaani send off alhamisi/ijumaa na weddings Jumamosi, je wanapata wapi muda wa kusoma na kupumzika? Nani anawaandaa nakuwaleta kwenye hizi kumbi? Kwanini wawe ndio wahudumiaji wa kituo tena kwa kutumikishwa usiku mrefu? Nina imani mwenye kituo anapata misaada kutoka sehemu mbalimbali kwa mgongo wa hawa watoto.