Mwamundela
Member
- Aug 28, 2013
- 49
- 71
Habari wadau,
Mimi ni mwalimu kwa taaluma, nimesoma bachelor of science with education (Chemistry &Biology) nimehitimu mwaka 2017.
Niko kitunda ilala Dar-es-Salaam. Nahitaji kama kuna MTU anashida ya kusoma chemistry au biology hasa advance (japo o-level pia mnakaribishwa) naomba tuwasiliane, then tukubaliane muda na gharama za kufundisha.
Nilikuwa mwanza nikifundisha shule ya serikali kwa kujitolea na kupewa posho kiasi. Nimeamua kujitegemea kupitia elimu yangu baada ya kuona muda unaenda na serikalini posho ni kidogo sana na muda mwingi nautumia huko.
Hivyo nimeamua nifundishe tuition nikipata hata 20 ni afadhali itakuwa kwa muda mfupi na muda mwingine ntafanya mambo mengine. Hivyo kama kuna MTU anaitaji ani PM tuwasiliane.
Ahsante
Mimi ni mwalimu kwa taaluma, nimesoma bachelor of science with education (Chemistry &Biology) nimehitimu mwaka 2017.
Niko kitunda ilala Dar-es-Salaam. Nahitaji kama kuna MTU anashida ya kusoma chemistry au biology hasa advance (japo o-level pia mnakaribishwa) naomba tuwasiliane, then tukubaliane muda na gharama za kufundisha.
Nilikuwa mwanza nikifundisha shule ya serikali kwa kujitolea na kupewa posho kiasi. Nimeamua kujitegemea kupitia elimu yangu baada ya kuona muda unaenda na serikalini posho ni kidogo sana na muda mwingi nautumia huko.
Hivyo nimeamua nifundishe tuition nikipata hata 20 ni afadhali itakuwa kwa muda mfupi na muda mwingine ntafanya mambo mengine. Hivyo kama kuna MTU anaitaji ani PM tuwasiliane.
Ahsante