DAVIES KILANGI
Senior Member
- Nov 25, 2018
- 174
- 117
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26, elimu yangu ni certificate of information and communication technology.
Natafuta kazi au kibarua chochote kile naweza kufanya ili mradi tu iwe halali kwani ni kijana mtiifu.
Iwe kiwandani, dukani, shells n.k location Mwanza
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia no 0765885012 au leonardendrew01@gmail.com
Natanguliza shukrani kwa wote wenye moyo wa kussidia
Natafuta kazi au kibarua chochote kile naweza kufanya ili mradi tu iwe halali kwani ni kijana mtiifu.
Iwe kiwandani, dukani, shells n.k location Mwanza
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia no 0765885012 au leonardendrew01@gmail.com
Natanguliza shukrani kwa wote wenye moyo wa kussidia