Anayefahamu umri na sababu ya kutostaafu utumishi wa umma Dkt. Mahenge atufahamishe

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Ni muda sasa kwa muonekano wake na haiba yake ya usoni ameonekana umri wake umesonga, historia yake ya utumishi wa umma tangu akiwa pale Mlimani campus kama mkufunzi pia ni muda umepita.

Wengine wanastaafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi lakini ndugu yetu yupo tu. Basi kwa mwenye taarifa za umri sahihi atupatie ili tujue ukweli wa hili.
 
Ni muda sasa kwa muonekano wake na haiba yake ya usoni ameonekana umri wake umesonga, historia yake ya utumishi wa umma tangu akiwa pale Mlimani campus kama mkufunzi pia ni muda umepita. Wengine wanastaafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi lakini ndugu yetu yupo tu. Basi kwa mwenye taarifa za umri sahihi atupatie ili tujue ukweli wa hili.
01.04.1962 hivyo ana miaka 59, anapaswa kustaafu kwa lazima ifikapo tarehe 31.03.2022

 
Ni muda sasa kwa muonekano wake na haiba yake ya usoni ameonekana umri wake umesonga, historia yake ya utumishi wa umma tangu akiwa pale Mlimani campus kama mkufunzi pia ni muda umepita. Wengine wanastaafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi lakini ndugu yetu yupo tu. Basi kwa mwenye taarifa za umri sahihi atupatie ili tujue ukweli wa hili.
Mind your business
 
Ana Mgwila anastafu akiwa na miaka 62 wakati huo huo Makongolo Nyerere anateuliwa kuwa RC Manyara akiwa na umri 62, kazi ziendelee.
 
Kuamua kutoendelea na kazi Kwa hiari binafsi, pia inaitwa kustaafu.umesahau ilo.Je unamkumbuka mtangulizi wa Mama Mgwira?Said Mecky Sadick,alistaaafu Kwa hiari pia.
 
Back
Top Bottom