Mafua ya kuku
Member
- May 31, 2019
- 92
- 76
popote kambi, popote makao, ata nkiacha kwenda kisa ivo vitisho, ntakufa tu.
na familia zinatofautiana kama unavoona tanzania, na makampuni pia ni tofauti kama unavoona tanzania
Wewe kaza buti mzeeh, ukimsikiliza Mtanzania, utakufa masikini. Wewe fanya unacho kiamini.