Anayedaiwa msimamizi wa mali za mke wa Balali ashtakiwa kwa utakatishaji fedha

Naomba kuelimishwa kidogooo,hivi mtu akimuuzia mwenzie kiwanja ambacho sio chake,hii inaingiaje kwenye uhujumu uchumi?hiyo di utapeli?
Wajuvi was sheria mnisaidie,Maana MTAANI haya mambo yapo Sana.
Inasaidia kukomesha mataperi kama uyo mama
 
Utapeli ni utakatishaji wa fedha Money laundry
unapewa pesa upeleke FAT kwa ajili ya michezo unazichepusha na kuzalisha faida hapo ni UTAKATISHAJI (uhujumu)
unadai unaweza kufua umeme kwa mitambo yako kumbe unazima mingine ili wewe ulipwe zaidi kilichozidi ni kutuhujum
Nimekuelewa ,lakini swala hili la kuuza kiwanja linaletaje uhujumu uchumi?Kama ni hivyo basi mitaani wengi ni wauhjumu uchumi
 
Naomba kuelimishwa kidogooo,hivi mtu akimuuzia mwenzie kiwanja ambacho sio chake,hii inaingiaje kwenye uhujumu uchumi?hiyo di utapeli?
Wajuvi was sheria mnisaidie,Maana MTAANI haya mambo yapo Sana.
Kesi hapo ni utakatishaji pesa. Yaani fedha zipatikanazo kwa utapeli zinaitwa pesa haramu (chafu).
Kitendo cha kuzitapeli na kujimilikisha inaitwa kutakatisha.
 
Naomba kuelimishwa kidogooo,hivi mtu akimuuzia mwenzie kiwanja ambacho sio chake,hii inaingiaje kwenye uhujumu uchumi?hiyo di utapeli?
Wajuvi was sheria mnisaidie,Maana MTAANI haya mambo yapo Sana.
Nadhani kipo cha mno zaidi ya hilo,,,
maana hapa ni utapeli wa kuuza kitu ambacho si chake atiiii...!
 
kesi za utapeli kwasasa zinaitwa 'kutakatisha fedha' na 'uhujumu uchumi', history will judge JPM harshly
Issue Sio Jpm issue ni Hao watu Wa DPP ambao hawako smart... Kujipatia pesa kwa Njia ya udanganyifu inakuwaje ni money laundering?
 
Hapana soma hyo sheria vzr
Kutakatisha. Kufanya kitu kuwa kisafi

Unapata fedha kwa njia isiyo halali. Wizi,utapeli,kukwepa kodi,kudhulumu,kuuza madawa ya kulevya.

Fedha uliyoipata unaenda kuitumia kununua vitu halali. Mpaka hapo unanunua Mali halali kwa kutumia fedha zisizo halali. Kwa kiingereza inaitwa money loundering. Laundry ni sehemu wanapofulia nguo
 
Hii sheria jamani... Baada ya miaka 3-4 bwana mkubwa akimwonea huruma baada ya kukonda, atamwomba akiri kosa, kuomba msamaha na kurejesha pesa huku upelelezi ukiwa bado haujakamilika!

Hi sheria inashtaki mpaka kibaka au ni uamuzi wa wakili kuamua huyu ashtakiwe kwa kosa hili na yule aende mahakamani kwa shtaka la uhujumu uchumi kwani sasa inatuchanganya kuelewa ninini hasa maana ya "kufisadi"
 
Mh....kuna ukakasi hapa...basi kesi zote zinazohusiana na kuibiana pesa ni kutakatisha pesa na uhujumu uchumi,wezi wanaotuibia pesa mitaani ni wahujumu uchumi na utajatishaji pesa et??

Kutakatisha pesa ni kuingiza pesa haramu ambayo kiuhalisia haiwezi kuingia kwenye mzunguko na kupitia wewe inaingia....pesa chafu....mtu kauza madawa ya kulevya anaweka kwenye akaunti yako...tayari hapo pesa inaingia kwenye mzunguko...etc
Kutakatisha. Kufanya kitu kuwa kisafi

Unapata fedha kwa njia isiyo halali. Wizi,utapeli,kukwepa kodi,kudhulumu,kuuza madawa ya kulevya.

Fedha uliyoipata unaenda kuitumia kununua vitu halali. Mpaka hapo unanunua Mali halali kwa kutumia fedha zisizo halali. Kwa kiingereza inaitwa money loundering. Laundry ni sehemu wanapofulia nguo
 
Naomba kuelimishwa kidogooo,hivi mtu akimuuzia mwenzie kiwanja ambacho sio chake,hii inaingiaje kwenye uhujumu uchumi?hiyo di utapeli?
Wajuvi was sheria mnisaidie,Maana MTAANI haya mambo yapo Sana.
Utapeli upo katika mazao/predicate offence ya utakatishaji fedha
 
Ndugu zangu hili swala la uhujumu uchumi nadhani sasa ni kwa ajili ya kukomoa watu tu basi. angalia kesi kama hii yaani mtu unakosaje dhamana wakati swala ni hilo dogo tu halafu thamani ya fedha ni 25 mn tu.
Soma vizuri,shitaka ni utakatishaji
Kupokea pesa ya zao la wizi maana yake ni utakatishaji
Huyo mama amepokea pesa huku akijua kwamba ameuza kiwanja ambacho si chake,kisha akaingiza hiyo pesa kwenye mfumo halali kama kunywea bia,kununua gari huko ni kutakatisha
 
Inafanana na sheria za kikoloni - kuzuia watu kupata uhuru na kuwanyanyasa kisaikolojia. Yaani mtu akikukamata na gunia la korosho akasema umehujumu uchumi, unakwenda mahabusu bila dhamana na upelelezi unachukuwa miaka na miaka... bila kukamilika. Yaani ni sawa na kufungwa kabla ya hukumu. Naamini kuna siku huu msumeno utawakata walioipitisha pia. Tumekuwa wakoloni weusi.
Hi sheria inashtaki mpaka kibaka au ni uamuzi wa wakili kuamua huyu ashtakiwe kwa kosa hili na yule aende mahakamani kwa shtaka la uhujumu uchumi kwani sasa inatuchanganya kuelewa ninini hasa maana ya "kufisadi"
 
Naomba kuelimishwa kidogooo,hivi mtu akimuuzia mwenzie kiwanja ambacho sio chake,hii inaingiaje kwenye uhujumu uchumi?hiyo di utapeli?
Wajuvi was sheria mnisaidie,Maana MTAANI haya mambo yapo Sana.
hiyo fedha ya udanganyifu baada ya kuipata akiweka katika mzunguko halali wa hela ilhali kapata isivyo kihalali..hii ni sawa kwa watu wa madawa ambao hupata mifedha mingi na huzuga kwa kuchukua kiasi fulan cha hizo hela na kuanzisha shughuli fulani ya kibiashara inayoficha biashara haramu(madawa)

hiyo biashara inayoonekana ndio huifanya kana kwamba kujisafisha mbele ya macho ya watu

kuna movie fulani inaonyesha wakuda wa madawa ambao wana kiwanda cha madawa .mbele ya hicho kiwanda wamekificha na supermarket. na kwenye hiyo supermarket wana kila kitu na wanahudumia tu huku shughuli za chini ya carpet zinaendelea
 
Inafanana na sheria za kikoloni - kuzuia watu kupata uhuru na kuwanyanyasa kisaikolojia. Yaani mtu akikukamata na gunia la korosho akasema umehujumu uchumi, unakwenda mahabusu bila dhamana na upelelezi unachukuwa miaka na miaka... bila kukamilika. Yaani ni sawa na kufungwa kabla ya hukumu. Naamini kuna siku huu msumeno utawakata walioipitisha pia. Tumekuwa wakoloni weusi.

Kwa namna nyingine tuseme ni kizuizini ya kimtindo fulani hivi?
 
Utapeli ni utakatishaji wa fedha Money laundry
unapewa pesa upeleke FAT kwa ajili ya michezo unazichepusha na kuzalisha faida hapo ni UTAKATISHAJI (uhujumu)
unadai unaweza kufua umeme kwa mitambo yako kumbe unazima mingine ili wewe ulipwe zaidi kilichozidi ni kutuhujum
Nadhani umeshindwa kuelewa dhima ya neno kutakatisha pesa.
 
Hyu balali Ana jumba moja linangalia ufukwe mmja bahari ya hindi
Basi ndg upande wa mwanaume wanakwenda mbio kutaka kuliuza wanataka kumzidi mke wa marehemu
Sahv Ukienda pale nje Kuna mabaunsa full time

Ova
Kwani kafariki kweli?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom