cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Ukiwa na shule unakomboka akili haya ya kutumia majina ya watu wakati una wazazi wako ni utumwashule inahusiana nini na jina,na huyo mama shule yake haijamkomboa.
Ukiwa na shule unakomboka akili haya ya kutumia majina ya watu wakati una wazazi wako ni utumwashule inahusiana nini na jina,na huyo mama shule yake haijamkomboa.
hakuna mtu aliedhalilishwa, kila mtu akae na kutambua nafasi yake.Nakuunga mkono. Mama akiendelea kukaa kimyaa dhidi ya hawa watu waliathirika na mfumo dume atapata taabu sana kuongoza hii nchi.
Haiwezekani mbunge wa Chama chako anabehave hivi. Alianza Mtaka kule DODOMA akamdhalilisha waziri wa elimu Ndalichako na sasa askofu Gwajima anamdhalilisha dr Dorothy. This is totally unfair! Raisi Samia usikubali huu uhuni. Chukua hatua haraka,utakuja kunikumbuka! Usik
ndo maana mwanamke anatolewa mahari ikiwa Ni kama ishara ya kununuliwa na kuwa Mali ya mwanaume.Ukiwa na shule unakomboka akili haya ya kutumia majina ya watu wakati una wazazi wako ni utumwa
Huwezi mnunua mtu mzima mahari ni zawadi kama zawadi nyingine tu za kawaidando maana mwanamke anatolewa mahari ikiwa Ni kama ishara ya kununuliwa na kuwa Mali ya mwanaume.
kumlaumu Ni sahini kwa sababu anaonekana anapigania tumbo lake kutokana msimamo wa bosi na si kitaalumaKabisa watu wanadhani wataalamu wote wa afya duniani wanaulewa huo ugonjwa wa COVID kinaga ubaga kama ilivyo kwa malaria.
Huo ugonjwa ni mpya sasa hivi tu kuna discussion za ‘long-haulers’ imebainika kuna wagonjwa wengi sana wanabaki na symptoms za COVID symptoms ata baada ya kupona.
Wataalamu wanataka kujua ni kwanini; sasa info kama hizi zinatokana reports, nchi ambazo zina records za wagonjwa wake na wanasampuli wanayoifuatilia.
In short pathophysiology ya uelewa wa COVID zina badilika kila siku kadri wasayansi wanavyojifunza. Na dunia inajifunza kupitia hizi taasisi zinazo fuatilia kwa karibu huu ugonjwa.
Dr Gwajima (kupitia leadership ya serikali) yeye alisimamia kile alichojua kwa wakati ule na msimamo wa boss.
Hata ivyo hizo chanjo yeye au nani mwingine angeenda ziagiza vipi? wao ndio wanaidhinisha matumizi ya serikali, bila ya kibali cha boss.
kama Ni zawadi kama zawadi zingine Kwanini haitokei akapewa mwanaume.Huwezi mnunua mtu mzima mahari ni zawadi kama zawadi nyingine tu za kawaida
Badae wanatoa sadakaGwajima hana tofauti na mfalme Zumaridi. Wangeoana hao mngeona mambo.
Kanisani full usanii tu, hakuna ibada umbea tu. Na watu wanaenda na sadaka wanatoa
Mbona hawapewi upande wa mume?Huwezi mnunua mtu mzima mahari ni zawadi kama zawadi nyingine tu za kawaida
Huyo Mama akifika 2025 akiwa hiyo wizara itakuwa muujiza.Ikitokea hivyo hayo yatakuwa maajabu ya karne hii!
Waziri apigwe chini kwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu ya mtu anayepinga maamuzi halari ya serikali? Sijui kwa nini unafikiria hivyo?
acha aisome number maana alijiingiza mwenyewe mkengeSio league Tu Bali lazima ashinde. Alieleta Hadi script ya Bashite yenye Fa Fa zote tena original.
yule maza nae ni ropo ropo ila kakutana na mbabe zaidi.Ogopa sana kwenye "league" upambane na mtu mwenye mapafu ya "cheetah"! Ni mwendo mwanzo mwisho!