Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila siyo masters zoteeHapo masters anasoma bila wasiwasi mkuu, hata akitaka kuendelea hapo hapo UD. Kwa hiyo GPA hawezi tu kuja kufundisha chuo
Hapo Masters' anasoma bila wasiwasi mkuu, hata akitaka kuendelea hapo hapo UD. Kwa hiyo GPA hawezi tu kuja kufundisha chuo
Anasoma bila mashaka ila asiweke wazo la kuwa lecturer. GPA hiyo haitaruhusu, unless asome first degree nyingine na apate at least 3.5
Kwa Tanzania ukikosa hiyo 3.5 au 3.8 kutegemea na chuo ndio basi tena hata kama utapata PhD huwi lecturer. Kule USA ukitusua ukapata PhD nzuri wewe unapita na kuwa Professor, juzi tu niliona video ya mdada wa Nigeria alipiga 2.6 lakini akapata chuo USA na sasa ni Professor kwenye chuo kikuu USA.Ohooo kwaiyo hata akipata PHD kufundisha chuo imeshampita pembeni mkuu
Apate 3.8 , 3.5 sasa ni magumashiAnasoma bila mashaka ila asiweke wazo la kuwa lecturer. GPA hiyo haitaruhusu, unless asome first degree nyingine na apate at least 3.5
Ndio mkuu vizuri kabisa, japo hatoweza kufundisha chuoni, labda ajikite zaidi kwenye researchlakini si bado anaweza kuja kuwa Profesa?
TCU Wanataka GPA ya 3.5 ila baadhi ya vyuo kupunguza ushindani wanaweka 3.8. Hao wote wa 3.8 kukiwa na uhitaji au kimaro wanachukua 3.5 bila shida. Less than 3.5 ndio shidaApate 3.8 , 3.5 sasa ni magumashi
Not Kimaro but kimemoTCU Wanataka GPA ya 3.5 ila baadhi ya vyuo kupunguza ushindani wanaweka 3.8. Hao wote wa 3.8 kukiwa na uhitaji au kimaro wanachukua 3.5 bila shida. Less than 3.5 ndio shida
Uko sahihi kabisa. Ila kwa usawa huu kama mtu hana 3.8 ni bora afanye mambo mengine, ni ukweli ambao haumezeki.TCU Wanataka GPA ya 3.5 ila baadhi ya vyuo kupunguza ushindani wanaweka 3.8. Hao wote wa 3.8 kukiwa na uhitaji au kimaro wanachukua 3.5 bila shida. Less than 3.5 ndio shida
Doh asome first degree nyengine tena? Hivi wapo wanaofanya hivo na wakafikia malengo?Anasoma bila mashaka ila asiweke wazo la kuwa lecturer. GPA hiyo haitaruhusu, unless asome first degree nyingine na apate at least 3.5
Ni wapi huko mkuu , maana tupo wengiNjoo ofs ya academics hapa amazon college tuzungumze, kuna nafasi inayokufaa sana.
Kozi ya hiyo GPA ipo.