habari wana jf,Ndugu wana jf naomba ushauri wenu katika hili,miez mitatu nyuma nilikutana na binti mmoja maeneo fulan,ikatokea katika muda mfupi tulikua marafiki wa karibu sana,muda mwing tulikua tukikaa pamoja,2kila pa1,tukilishana chakula muda mwngne,tukipeana vizawad vya hapa na pale,siku moja 2kakiss(wet kiss),cku zlizofuata ikawa 2kibak sehemu wawili 2nashkanashkana,hugs za ajabu kw wing,kuniambia i lv u mara kibao,kiukwl nilikua tayar in lv wth ha,ikabd cku nimueleze kwmb i hav filingz for ha,akaniambia kwmb ana bf wake thn anampenda sana,thn mm ananipenda sana ila kama rafk wake wa karbu,sasa nashndwa kuelewa km anasema ukwl au na yy pia anaflngz na mm,naomben shaur