Kuna mambo mengine ya ajabu sana aisee, kuna muhuni anamtumia rafiki yangu videos nyingi 50 kidogo, akiblokiwa anatuma kwa namba nyingine, namba za Whatsapp anazotumia ni za china , india, urusi, n.j
binafsi nlicheki video mbili tu kwa lengo la uchunguzi Ili nitoe wazo au msaada ila nilitoka kapa, jamaa sura haonyeshi, yeye hajirekodi anamrekodi binti tu pindi wakiwa kwenye tendo.
Kwa upande wa binti alisita mwanzoni kumjua ila nikamshauri rafiki afanye namna fulani ili aseme, binti akakiri ni yeye ila sasa walishachana kitambo na huyo jamaa, namba zake hazipatikani na hata makazi yake alihama.
Kwenda polisi jamaa hataki Kusikia kabisa anataka kumaliza mambo yeye na mhusika bila habari kusambaa.
Sasa kwa hali hii huyu rafiki achuke uamuzi gani
Binafsi nina mke na watoto wawili mkuu.Rafiki = Wewe. Achana na huyo manzi, songa mbele.
Jambo limesambaa kivipi??"Mkuu umesema jamaa anataka kumalizana na X wa demu wake bila ya kwenda polisi ili kuthibit jambo hili kusambaa!"..........Sasa kwa kulipost humu mbona tayari umeshalisambaza?
Basi wazitumie kupata mzuka kabla ya tendoAnafurahi kuziona.
Jikite kwenye hoja zangu hapo! Acha mihemko! Hapa jukwaani hatuchangii mada kwa kujuana, bali tunachangia maada kulingana na uzito wake! Kama unataka mada yako ichangiwe na watu unaowafahamu tu kwanini usiwaorodheshe hapa??....Humu ndani watu ni Great thinkers, ukijichanganya, lazima watakurudisha penye point!Jambo limesambaa kivipi??
Unanijua??
Unamjua victim??
Umeiona hio video??
Unajua ni watu wangapi wanafanyiwa hivi vitu??
"Miriraaa miriraaaa kuchapiwa ndiyo Maishaaaaa"Kuna mambo mengine ya ajabu sana aisee, kuna muhuni anamtumia rafiki yangu videos nyingi 50 kidogo, akiblokiwa anatuma kwa namba nyingine, namba za Whatsapp anazotumia ni za china , india, urusi, n.j
binafsi nlicheki video mbili tu kwa lengo la uchunguzi Ili nitoe wazo au msaada ila nilitoka kapa, jamaa sura haonyeshi, yeye hajirekodi anamrekodi binti tu pindi wakiwa kwenye tendo.
Kwa upande wa binti alisita mwanzoni kumjua ila nikamshauri rafiki afanye namna fulani ili aseme, binti akakiri ni yeye ila sasa walishachana kitambo na huyo jamaa, namba zake hazipatikani na hata makazi yake alihama.
Kwenda polisi jamaa hataki Kusikia kabisa anataka kumaliza mambo yeye na mhusika bila habari kusambaa.
Sasa kwa hali hii huyu rafiki achuke uamuzi gani?