Anataka tuachane, nifanyeje?

Jocasta

JF-Expert Member
Aug 28, 2014
474
587
Ni mpenzi wangu kwa muda wa miaka mitano sasa!!! Nampenda sana tena sana. Juzi kapiga simu akasema ana mazungumzo na mimi. Jana kasema tuachane, nilipouliza sababu hakunipa.

Inaniuma sana tena sana coz nilikuwa nimewekeza kwake 100%. Naombeni pakuanzia jamani,nifanyeje?
 
wewe mwenye pic hapo ndo unataka uachwe au ndo unataka umuache mwenzio?mpz yanauma.hapo huna chako angalia maisha yako songa mbele,kuna 7bu nyuma ya kauli ya mpz wako.utaijua tu ukifatilia vzr,huu ndo ukweli.Fanya maisha yako.by the way Uzi wako ungepeleka jukwaa LA mapenzi.labda umechanganyikiwa.pole
 
Mkuu sikza wimbo mpya wa hormonize waitwa matatizo......kuna kipande analalamika kuwa IPO siku mpenz wake pia anaweza mkimbia sababu ahad zimekuwa nyingi .pole sana mkuu just move on pengine haikupangwa uish nae huyo alikuwa n sehemu ya history unayoandika hapa dunian ....songa na njia karibu utafika mwisho wa reli
 
Mkuu ni vyema ukamwacha kaenda kwa sababu hujui nini mwenzako kaona, kapanga nini, na inawezekana ana mtu wake wa nguvu.
Let her go though it is so painful to see your beloved one going away. Let her go, let her go go away and never expect her back she seems to be ain't yours.
But if she is yours she will come back to you-"if the dove substantially belongs to you, let it freely fly and to you it will come back"
 
wewe mwenye pic hapo ndo unataka uachwe au ndo unataka umuache mwenzio?mpz yanauma.hapo huna chako angalia maisha yako songa mbele,kuna 7bu nyuma ya kauli ya mpz wako.utaijua tu ukifatilia vzr,huu ndo ukweli.Fanya maisha yako.by the way Uzi wako ungepeleka jukwaa LA mapenzi.labda umechanganyikiwa.pole
hah... kalagabaho
 
Back
Top Bottom