Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Nina mpenzi wangu huyo ninampenda mno mahusiano yake na Mimi sasa hivi ni miaka mitatu imeshatimia tumefanya Mengi kama wachumba tunaheshimiana mno na Mimi nampenda sana mpz wangu.
Ila changamoto nilionayo hivi sasa mpz wangu amenibadilikia anachotaka ni ndoa amechoka uchumba sugu na Mimi kila siku ananilalamikia huwa anaumia kuona marafiki zake wanaolewa yeye bado mpka mdogo wake kaolewa yeye bado hivyo hili jambo linamuumiza akiri na yeye anafosi ndoa na yeye kanielezea kama nitashidwa kutimiza hili basi ameniomba nimuache afanye maisha yake.
Ukweli ni kwanga upande wangu kimaisha sipo vizuli bado napambana niweke mambo yangu vizuli nijipange vyema ila mwenzangu hanielewi aniona kama ni mbabaishaji japo hali yangu ya kiuchumi anaielewa.
Naombeni ushauli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila changamoto nilionayo hivi sasa mpz wangu amenibadilikia anachotaka ni ndoa amechoka uchumba sugu na Mimi kila siku ananilalamikia huwa anaumia kuona marafiki zake wanaolewa yeye bado mpka mdogo wake kaolewa yeye bado hivyo hili jambo linamuumiza akiri na yeye anafosi ndoa na yeye kanielezea kama nitashidwa kutimiza hili basi ameniomba nimuache afanye maisha yake.
Ukweli ni kwanga upande wangu kimaisha sipo vizuli bado napambana niweke mambo yangu vizuli nijipange vyema ila mwenzangu hanielewi aniona kama ni mbabaishaji japo hali yangu ya kiuchumi anaielewa.
Naombeni ushauli.
Sent using Jamii Forums mobile app