mwanajamiiservices
Member
- Jul 24, 2017
- 31
- 17
Anasema yeye ni mwalimu wa Darja la tatu A yaani mwalimu wa Msingi ngazi ya cheti. Anataka kwenda kujiendeleza lakini hajui ni course gani za education ngazi ya Diploma ambazo zina soko kwa sasa. Hivyo anaomba msaada wa kujulishwa ili aweze kuzifahamu. Naomba kuwasilisha.