Anataka kuoa CHANGUDOA, ni CHANGAMOTO zipi atakumbana nazo katika Maisha yake ya NDOA?

amakyasya

JF-Expert Member
Jun 26, 2013
3,480
907
Kuna jamaa mtaani kwetu amejitoa mhanga kuoa CHANGUDOA a.k.a KAHABA huku anajua vizuri mwanamke huyo alivyo na ameshauriwa mara nyingi na watu wa rika mbalimbali wenye busara kuwa aachane na huyu mwanamke lakini jamaa ammeshikilia msimamo wake wa kutaka kumuoa. Je, ni changamoto zipi atakumbana nazo ktk maisha yake ya ndoa na huyo CHANGUDOA?
 
Si Ajabu !! akabadilika na kurekebisha maadili yake..... Ya mungu ni mengi kulikoni !! Wangapi walikuwa watiifu mara tu wakapotezea na kuchafuwa hewa ? na wapo wengi hubadili hulka zao na kuwa watiifu na wema katika maisha ya ndoa.!!
Hayo hapo katika mikono yetu au yao!!
 
hamna changamoyo yoyote maana yeye kashakubali kiwa vidume wengine watakuwa wanamgegeda demu wake...so infact atakuwa na ndoa nzuri tuu....mbinde kwa sie tunaotaka mke wa kwetu peke yetu
 
ajipange kusalitiwa dakika yeyote ile maana ameshazoea kukutana na midume mingi hivyo hawez vumilia 1. my view
 
Anaweza akabadilika hadi mkamshangaa. Siyo wote wanapenda kujiuza wengine ni maisha tu. Soma sahihi yangu hapa chini.
 
Na alaaniwe mwanaume aliyezaliwa na mwanamke ambaye amebalehe na kuota ndevu hadi sehemu not reachable ambaye hajui kwamba mkabala na whom u call Changudoa yupo mwanaume alisababisha bi dada huyu apate nishani hiyo...Mimi niwatakie maisha mema tu!
 
Hana changamoto zozote zile. Ila atapumzika vizuri maana huyo mwanamke hakuna kipya cha kumchanganya maana yuko qualified.ilimradi wamepatana.Angalizo:kama huyo mwanamke anafanya ukahaba kama hobby hapo kidogo ni shida maana hataacha.ni kama ukimuoa mlevi hawezi kuacha pombe.inabidi ajue hilo.otherwise kila mwanamke ambaye hukumkuta na bikira alikuwa anagegedwa.na kama alikuwa anasoma cbe / ifm/ Dsa. Etc basi alikuwa kahaba.ila inawezekana ni kwa ajili ya kujikimu tu.
 
Hana changamoto zozote zile. Ila atapumzika vizuri maana huyo mwanamke hakuna kipya cha kumchanganya maana yuko qualified.ilimradi wamepatana.Angalizo:kama huyo mwanamke anafanya ukahaba kama hobby hapo kidogo ni shida maana hataacha.ni kama ukimuoa mlevi hawezi kuacha pombe.inabidi ajue hilo.otherwise kila mwanamke ambaye hukumkuta na bikira alikuwa anagegedwa.na kama alikuwa anasoma cbe / ifm/ Dsa. Etc basi alikuwa kahaba.ila inawezekana ni kwa ajili ya kujikimu tu.

Umeanza vizuri mwisho ukamaliza na pumba...sasa hivyo vyuo vimehusianaje...au ndo kumaanisha waliosoma nje ndo hawawezi kuwa makahaba...?! Hapo sio..... Ukahaba ni hulka ya mtu,na mwingine atafanya sababu ya shida ila hivyo vyuo ulivyotaja hapo havifundishi ukahaba!!
 
Hana changamoto zozote zile. Ila atapumzika vizuri maana huyo mwanamke hakuna kipya cha kumchanganya maana yuko qualified.ilimradi wamepatana.Angalizo:kama huyo mwanamke anafanya ukahaba kama hobby hapo kidogo ni shida maana hataacha.ni kama ukimuoa mlevi hawezi kuacha pombe.inabidi ajue hilo.otherwise kila mwanamke ambaye hukumkuta na bikira alikuwa anagegedwa.na kama alikuwa anasoma cbe / ifm/ Dsa. Etc basi alikuwa kahaba.ila inawezekana ni kwa ajili ya kujikimu tu.
 
Changudoa ni mwanamke kama mwngine yoyote sioni tatizo hapo,,,,,,,
Tofauti yake ni kusimama barabarani tu but changudoa wastaarabu wako wengi sana.
 
Anabadilika tu kama kweli ameamua kuolewa lakin kama anataka tu kuondoa mkosi jamaa ajiandae kugongewa kila cku
 
Wewe uliyeanzisha thread ni stupid,changudoa ni mwanamke kama wanawake wengne walivyo ebu acheni ubaguzi nyie
Hasira za nini bana aah, yule si wako nami si wangu, chuki ya nini kati yako mimi na wewe! Nasema sina makosa...
 
that means amekaa na huyo dada na wameelewana!

sasa ushauri tena wa nini?

ila kama analazimisha ndoa na dada poa, hapo ndio pabaya!
 
Changudoa ni mwanamke kama mwngine yoyote sioni tatizo hapo,,,,,,,
Tofauti yake ni kusimama barabarani tu but changudoa wastaarabu wako wengi sana.

hali waliyonayo wale ni sababu ya maisha tu!

ila most of them huwa wanatulia sana endapo wakipata mwanaume perfect!

but, dont cheat these kind of ladies!!!

wakiamua na wao ku-cheat, itakuwa unstoppable phenomenon!
 
Kuna jamaa mtaani kwetu amejitoa mhanga kuoa CHANGUDOA a.k.a KAHABA huku anajua vizuri mwanamke huyo alivyo na ameshauriwa mara nyingi na watu wa rika mbalimbali wenye busara kuwa aachane na huyu mwanamke lakini jamaa ammeshikilia msimamo wake wa kutaka kumuoa. Je, ni changamoto zipi atakumbana nazo ktk maisha yake ya ndoa na huyo CHANGUDOA?

mwache kwanza amuoe,atakuja kutueleza changamoto yeye mwenyewe
 
Back
Top Bottom