Anataka kuitoa!

Baba Erick

JF-Expert Member
Aug 24, 2011
483
75
Habari za leo ndugu zangu kama mnakumbuka kichwa cha habari hapo juu leo nimekutana na wahusika na nimewapa ushauri wenu ila nilitumia njia ya kuchunguza kama ujauzito ni kweli wa rafiki yangu kwa kumdanganya yule msichana kuwa kuna daktari namfahamu ana uwezo wa kuchunguza DNA mtoto akiwa tumboni na nimejitolea kutoa hela kwa ajili hiyo kwa hiyo tukishapata uhakika kwamba mimba ni ya mshikaji atatoa huduma zote za kutunza mimba. Jamani dada wa watu aling'aka ile mbaya na baada ya yote tuligundua mimba ni ya mtu mwingine. So vijana wenzangu tuwe makini na tuepuke ngono zembe. NASHUKURU SANA..
 
Mwenye uamuzi wa mwisho hapo ni mwanamke kwa sababu hiyo mimba ipo mwilini mwake.

Sababu za huyo mdada kutaka kukiua hicho kiumbe hai ni nini?
 
Ah wanawake wengine bwana yani miguu ulichanua mwenyewe ili uisikilizie utamu wake,majibu ya utamu umeyapata unataka kwenda kutoa mimba,wengine watoto wanawatafuta kwa pesa hawawapati yeye anaenda kuwaua,mwambia huyu rafiki yako ajaribu kumrai kama alivyo mlaghai kumvua chupi basi amrai asitoe mimba.....
 
Mwenye uamuzi wa mwisho hapo ni mwanamke kwa sababu hiyo mimba ipo mwilini mwake.

Sababu za huyo mdada kutaka kukiua hicho kiumbe hai ni nini?

anasema eti hana mpango wa kuzaa kwa sababu hajafikia malengo yake.
 
Ah wanawake wengine bwana yani miguu ulichanua mwenyewe ili uisikilizie utamu wake,majibu ya utamu umeyapata unataka kwenda kutoa mimba,wengine watoto wanawatafuta kwa pesa hawawapati yeye anaenda kuwaua,mwambia huyu rafiki yako ajaribu kumrai kama alivyo mlaghai kumvua chupi basi amrai asitoe mimba.....

sawa mkuu nitampa ushauri wako jumamosi
 
kama kapenda na mwanamke kakubali amwoe hapo poa, lakini asimuoe sababu ya mimba atachemka....
 
Jamani poleni leo nimekutana na mshikaji wangu akanieleza yanayomsibu jamaa ali-do mwezi wa 8 na barmeid. jana yule barmeid ameenda kupima akakuta ana ujauzito cha kusikitisha barmeid anataka akatoe ila mshikaji hataki . Jamani mnamshauri afanye nini waungana kwani jamaa anataka kuoa

mshkaji wako muarabu wa wapi? Naona anajitoa mhanga na haogopi kufa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom