Anataka Kuachana na Ualimu kwa ajili ya Kazi hii

Duuh pagumu apo atleast ningejua pamoja na kupanda daraja yupo scale ipi TGTS ipi?

Au roughly anachukua take home Tsh ngapi?
 
Wasalaam. Nina mdogo wangu hapa, ni mwajiriwa wa Serikali mwalimu sekondari kazi aliyoifanya karibia miaka 6 na juzi kapanda hadi daraja.

Aliomba kazi UKaid na wamemwita kwenye interview mshahara ni 1m+, kwenye ualimu bado hajafikia hiyo pesa.

Unamshauri nini? Aachane na hii ya serikali?
Ni Mwalimu wa Degree ama?

Hilo shirika, hiyo 1M+ ni take home au Basic?

Kama ni Mwalimu wa Degree na kapanda daraja...namshauri aendelee tu na ualimu.
 
Ni Mwalimu wa Degree ama?

Hilo shirika, hiyo 1M+ ni take home au Basic?

Kama ni Mwalimu wa Degree na kapanda daraja...namshauri aendelee tu na ualimu.
Hiyo 1m+ ameweka hadi makato ya bodiya mikopo.
Working Hours ni 35 kwa wiki.
Inamaana masaa yakizidi kuna overtime, kitu ambacho kwenye field aliyopo hakuna.
 
Aende kwanza kwenye interview akifanikiwa na kupewa mkataba ndo anaweza kuaacha iyo kazi ya ualimu pia kama ni mchapakazi mzuri kuna uwezekano akaongeazewa mkataba baada ya iyo miaka miwili.
 
Akomae na ualimu

Kama iyo kazi haina motisha yeyote (malupulupu) - 1mil ni mule mule alaf BODI ya mikopo tunako endea,, hili swala wata kutrace hata uwe wapi

Yaani atleast iyo kazi angekua anachukua kuanzia 2mil ningemwambia aende! (Two times ya unako toka)

Ana risk kwa almost the the same amount! Labda ingekua ni biashara ningemwambia akome nayo ila Kwa apo

Abaki ualimu tu
Take home ni kama haifiki hata 600k due to makato ya bodi + makato mengine ni E
 
Akomae na ualimu

Kama iyo kazi haina motisha yeyote (malupulupu) - 1mil ni mule mule alaf BODI ya mikopo tunako endea,, hili swala wata kutrace hata uwe wapi

Yaani atleast iyo kazi angekua anachukua kuanzia 2mil ningemwambia aende! (Two times ya unako toka)

Ana risk kwa almost the the same amount! Labda ingekua ni biashara ningemwambia akome nayo ila Kwa apo

Abaki ualimu tu
Asante kwa ushauri.
 
Wasalaam. Nina mdogo wangu hapa, ni mwajiriwa wa Serikali mwalimu sekondari kazi aliyoifanya karibia miaka 6 na juzi kapanda hadi daraja.

Aliomba kazi UKaid na wamemwita kwenye interview mshahara ni 1m+, kwenye ualimu bado hajafikia hiyo pesa.

Unamshauri nini? Aachane na hii ya serikali?
omb likizo bila malipo. maan 1m ndogo sana
 
Akomae na ualimu

Kama iyo kazi haina motisha yeyote (malupulupu) - 1mil ni mule mule alaf BODI ya mikopo tunako endea,, hili swala wata kutrace hata uwe wapi

Yaani atleast iyo kazi angekua anachukua kuanzia 2mil ningemwambia aende! (Two times ya unako toka)

Ana risk kwa almost the the same amount! Labda ingekua ni biashara ningemwambia akome nayo ila Kwa apo

Abaki ualimu tu
Mkuu umeniwahi nilikuwa na mawazo kama ya kwako.
Huwezi kurisk kazi yako ya muda mrefu kwa utofauti wa laki 4 kwenye mshahara utakuwa bado upo kwenye kiwango kilekile cha umaskini.
Na bado hujui huo mkataba wa miaka 2 ikiisha utaongezewa au la.
Na kwa mshahara huo huwezi kumake savings za maana kwa miaka 2.
Angalau ingekuwa ni take home ya 2m unajua baada ya miaka 2 hata ukipigwa chini utakuwa na salio la kutosha kwenye akaunti yako litakalokuwezesha kuanzisha biashara.
Hizo NGOs huwa hazitabiriki anytime wanafunga ofisi wanasepa zao kwenda nchi zingine unaachwa jobless

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom