JosephNyaga
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 291
- 232
Hajui na ameniuliza hata mimi sijui hii kozi kazi zake ni zipi na ataenda kufanya wapi. Sijui akimaliza kozi atakuwa nani (aina gani ya kazi au post). Je, serikalini ina soko hii kozi kwa diploma?
Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app