Umri wangu nini miaka 40.
Elimu:chuo.
Anatafutwa mke Umri kuanzia 30-40. Mwenye chini ya Umri huo asitume maombi. Sitaki kuwa na mwanamke
tegemezi.
Awe na kipato kisichopungua 3m kwa mwezi
Elimu form four na kuendelea.
Mkristu au awe tayari kubadili dini
Mwenye upendo.
Msikivu
Mimi najitegemea na nina maisha yangu binafsi. Naamini tukichanganya kipato chake na changu tutafika mbali.
Elimu:chuo.
Anatafutwa mke Umri kuanzia 30-40. Mwenye chini ya Umri huo asitume maombi. Sitaki kuwa na mwanamke
tegemezi.
Awe na kipato kisichopungua 3m kwa mwezi
Elimu form four na kuendelea.
Mkristu au awe tayari kubadili dini
Mwenye upendo.
Msikivu
Mimi najitegemea na nina maisha yangu binafsi. Naamini tukichanganya kipato chake na changu tutafika mbali.