Huu mbona ni mshahara mkubwa sanadah 40k as salary itsDifficulty
hahahahaa et bado godoro la baba jipya40k bora niendelee kupiga puli na kula ugali hapa nyumbani kwa baba..mimi bado mdogo sana..19yrs old,,,badobado..godoro la baba bado jipya
Hata mimi nashangaa. Huyo kijana akishauza duka si unampa commission yake anaondoka! mshahara wa nini sasa?Akiuza duka mtabaki na nini?
😂😂😂Akiuza duka mtabaki na nini?
40,000 kwa mwezi sawa NA 1300 kwa siku muache dharau watoto wawenzenu.
Anaetaka aje Njombe kwa siku 6000 chakula atapata