Babafetty
Senior Member
- Nov 11, 2013
- 107
- 107
oh,Nashukru sana wana bodi kuna member amenipigia ana details juu yake alikuwa rafiki ya baba yake na kuna tetesi yuko mbozi,anaumwa,nikishakamilisha kila kitu nitakuja kuwajuza.Asanteni.
hongera saana, all the best ktk hili, umefanya jambo la busara sana kumtafuta mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app