Anatafutwa Fundi anayeweza ku-instal BEIN DECODER kwa Dar

BabaTina

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
429
574
Mambo vp wanajamvi...kuna jamaa angu kanipa haka kazawadi ka BEIN DECODER so nimejaribu mbinu zote za kumpata fundi wa kufunga imeshindikana...kama kuna mtu anafahamu ama yupo hapa tafadhali anahitajika haraka
df44d4bc70791eaf43e71ce93c860430.jpg

4a9cae15884e3ab513a2f130aebdd817.jpg
 
Mambo vp wanajamvi...kuna jamaa angu kanipa haka kazawadi ka BEIN DECODER so nimejaribu mbinu zote za kumpata fundi wa kufunga imeshindikana...kama kuna mtu anafahamu ama yupo hapa tafadhali anahitajika haraka
df44d4bc70791eaf43e71ce93c860430.jpg

4a9cae15884e3ab513a2f130aebdd817.jpg

Duh! Pole mkuu. Ni sawa na kuwa na mamilioni ya shilingi za kitanzania US.
 
Kwanza kabisa hakikisha una dish la bati futi 12 na lnb ya black pro au Fuji ndio unaweza kuipata signal ya hiyo kitu
 
Back
Top Bottom