system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 706
Ni ndugu yangu. Anatafuta shule ya kukodi. Iwe Msingi ama Sekondari kwenye mkoa wa DSM, Pwani ama Morogoro.
Kwa yeyote anayeweza kusaidia kufanikisha hili anakaribishwa sana.
Mengine watazungumza wenyewe wakikutana.
Tumia hii email:
dodomadaressalaam@gmail.com
Tusaidiane ku push hili suala.
Asanteni.
.................
Updates:
Kuna mtu mwingine anahitaji shule. Hivyo now watu wapo wawili.
Kingine: Kabla hujataka mawasiliano ya 'simu' nielezee kwa kifupi kuhusu ishu nzima ya shule.
Wadau naona wapo resi zaidi kutaka mawasiliano ya simu hata hawajanipa details zozote za shule. Kama ku type inachosha record voice note nitumie PM ama email.
Muhimu: Mtafuta shule sio mimi namsaidia mtu kutafuta. Hivyo, nikiona details zako zina make sense nakupa namba yake moja kwa moja mmalizane hakuna haja ya mie kukupa yangu. Pia, imagine mtu nampa mawasiliano yako hata sina ABC kuhusu shule yenyewe...! atanionaje?
Kwa yeyote anayeweza kusaidia kufanikisha hili anakaribishwa sana.
Mengine watazungumza wenyewe wakikutana.
Tumia hii email:
dodomadaressalaam@gmail.com
Tusaidiane ku push hili suala.
Asanteni.
.................
Updates:
Kuna mtu mwingine anahitaji shule. Hivyo now watu wapo wawili.
Kingine: Kabla hujataka mawasiliano ya 'simu' nielezee kwa kifupi kuhusu ishu nzima ya shule.
Wadau naona wapo resi zaidi kutaka mawasiliano ya simu hata hawajanipa details zozote za shule. Kama ku type inachosha record voice note nitumie PM ama email.
Muhimu: Mtafuta shule sio mimi namsaidia mtu kutafuta. Hivyo, nikiona details zako zina make sense nakupa namba yake moja kwa moja mmalizane hakuna haja ya mie kukupa yangu. Pia, imagine mtu nampa mawasiliano yako hata sina ABC kuhusu shule yenyewe...! atanionaje?