masanjuo
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 184
- 306
Habari zenu, za siku nyingi jamani. Nina rafiki yangu wa kike ana miaka 27. Anatafuta mume/ mwenza wa maisha sio boyfriend na yupo serious, aliyeko serious waanze safari ya maisha
Sifa zake ni:
Mweusi maji ya kunde
Amejiajili anafanya kazi ya saloon
Elim yake ni shahada ya ualimu
Miaka 27
Anapoishi sasa Morogoro
Hana mtoto hata mmoja
Dini ni mkristo
Mwembamba kiasi
NB
Hachagui dini, muhimu na yeye afanye kazi ili waweze kujiendeleza maishani. Yupo serious sana njoo inbox nikupe no yake.
Asanteni sani
Sifa zake ni:
Mweusi maji ya kunde
Amejiajili anafanya kazi ya saloon
Elim yake ni shahada ya ualimu
Miaka 27
Anapoishi sasa Morogoro
Hana mtoto hata mmoja
Dini ni mkristo
Mwembamba kiasi
NB
Hachagui dini, muhimu na yeye afanye kazi ili waweze kujiendeleza maishani. Yupo serious sana njoo inbox nikupe no yake.
Asanteni sani