Anatafuta mume/mwenza wa maisha sio boyfriend

Habari zenu, za siku nyingi jamani. Nina rafiki yangu wa kike ana miaka 27. Anatafuta mume/ mwenza wa maisha sio boyfriend na yupo serious, aliyeko serious waanze safari ya maisha

Sifa zake ni:
Mweusi maji ya kunde
Amejiajili anafanya kazi ya saloon
Elim yake ni shahada ya ualimu
Miaka 27
Anapoishi sasa Morogoro
Hana mtoto hata mmoja
Dini ni mkristo
Mwembamba kiasi

NB
Hachagui dini, muhimu na yeye afanye kazi ili waweze kujiendeleza maishani. Yupo serious sana njoo inbox nikupe no yake.

Asanteni sani
Kufanya kazi saloon siyo shida. Ila wadada wengi wanaofanya kazi saloon mmmmmh… ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom