Wadau huyu ndugu yangu amepata kazi hapo Mwenge sasa tatizo ni umbali kutoka anapokaa, anahitaji master(au ikipatikana chumba na sebule) maeneo ni Mwenge Mpakani, Ubungo, Kimara ya mwanzo, Sinza, Kinondoni, Kawe, Makumbusho etc kwa ufupi isiwe mbali na Mwenge, bajeti yake ni 80k hadi 100k na atalipia miezi mitatu kwanza ila kama itapatikana inayozidi laki basi mwenye nyumba apokee miezi miwili kwanza.
Sababu ya kuja huku ni kuwa madalali wanataka kodi ya mwezi mzima na kijana ndio ameanza kazi, ila atakayemtafutia hataondoka bure atapata posho.
Msaada tafadhali, matusi na kejeli si lazima,maswali yatajibiwa. ASANTENI
Sababu ya kuja huku ni kuwa madalali wanataka kodi ya mwezi mzima na kijana ndio ameanza kazi, ila atakayemtafutia hataondoka bure atapata posho.
Msaada tafadhali, matusi na kejeli si lazima,maswali yatajibiwa. ASANTENI