Andy Da Inc
Senior Member
- Mar 2, 2015
- 132
- 228
Nakuja kwenu wana wa JF,naomba msaada wenu,kuna kijana anaitwa KAIGI ERASTO LUKAGURA,anatafuta baba yake mzazi ambae amepoteana nae tangu akiwa mdogo,baba alihamishwa kikazi kutoka old shinyanga kwenda Dar es salaam kigamboni kikazi(alikuwa mwanajeshi),aliondoka toka mwaka 1984 kipindi ambacho kijana wake(anaemtafuta) ana mwaka mmoja,tunaomba kwa mwenye dondoo japo kwa jina tuwasiliane kupitia 0753459589,baba huyo ni muhaya.kijana muhusika ni huyo ktk picha