abbasmbassa
New Member
- Aug 1, 2018
- 4
- 2
Naomba ushauli kuhusu ndugu yangu.
Anasumbuliwa na pumzi kutokufika kwenye moyo.ameshapimwa presha,x ray na ultrasound. Majibu Hakuna ugonjwa.
Ukimtazama ana afya nzuri natatizo hili likumshika miguu hukoswa nguvu na hufa ganzi.
Anasumbuliwa na pumzi kutokufika kwenye moyo.ameshapimwa presha,x ray na ultrasound. Majibu Hakuna ugonjwa.
Ukimtazama ana afya nzuri natatizo hili likumshika miguu hukoswa nguvu na hufa ganzi.