Anasema ananipenda ile hali alinigomea ndani ya Box

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,524
Wakuu niende kwenye topic

kuna Demu Mmoja ivi tulikutana nae Maeneo ya chuon yeye ni 1st year tulipanda nae gari moja kwenda chuoni katika kupga stori akaniomba namba nikampa baada ya kushuka kwenye kituo cha daladala kila mtu kaenda zake ila cha ajabu kufikia mida ya saa tatu usiku nikapigiwa simu na namba ngeni kupokea aliepga akajitambulisha kuwa ni dada tuliepanda nae daladala moja kwenda chuon na aliomba nionane nae mda ule...

Basi bana kama kawaida kidume sikuload... nikamwambia tuonane maeneo fulani ivi mda c mrefu akanipgia simu kuwa tayar ameshafika..

Kufika nikamkuta kweli mtoto katupia kigauni kifupi na marashi hatari.. Mashalaah ni mtoto kweli..!

Baada ya baada ya salamu mtoto akaniuliza samahani kakangu kwa usumbufu mda ule sikukumbuka hata kukuulizia hata jina lako nikamwambia usjali mi naitwa. .......

Nawe mwenzangu unaitwa nan akinijibu anaitwa Neema.

Baada ya utambulisho mtoto akaniuliza kk samahan kwa usumbufu room kwako unakaa na nan?
Kwa bahati nzur nilikuwa peke yng siku hyo nikamwambia nipo peke angu
Akaniambia samahn kk wenzangu wameondoka na funguo unaweza kunihifadhi nilale room kwako?..
Nikasema poa!

tukaongozana nae kwenda rom kwngu baada ya mda wa kulala kufka nikamwonesha pakulala nikamwambia mi nataka nikalale kwa jamaa yangu kama kumpima kumbe nilikuwa nazuga ili kupima imani yake atasemaje kwani ninalo shuka moja la kujifunika akaniambia nisijal tutajifunika wote hilo moja
Hapo kimoyomoyo nikajisemea leo nimepata zari sasa tumeingia kulala nikajisemea hii ndo chance mwenzio nikaanza kumpa maneno matamu huku nikimtomasa kwa utundu cha ajabu mtoto hanielewi mara akaanza kulia na kuanza kusema wenzangu wasingenifungia nisingekuja huku kupata taabu hizi ....
Duu hadi nikajikuta napatwa na huruma na kujutia nilichotaka kufanya nikaona isiwe nouma nikamtuliza baada ya yeye kutulia nakurudi kulala

nikamgeuzia mgongo nikapga usingizi hadi kesho yake asubuhi

Ndo nikaskia sauti yake ikinisalimia asubuhi na kuniuliza nimelalaje ndo nikastuka baada ya kuamka nikapga mswaki nayeye nikamchotea maji baada ya kuswaki nikamsindikiza nayeye akaenda zake....
Nakumbuka mida tunatoka washikaji tuliokutana nao walinipongeza kwa kuonekana natoka na chombo kikali room kwangu mida ile kwani walijua nililala nacho
Kudadeki kiroho kiliniuma nikikumbuka kilichonitokea sijalamba kitu...
Nikaamua kudeleta namba yake pale pale na kuendelea na mishe zangu
Sikuwaza kumtafta tena....

Cha ajabu zimepita wiki mbili baada ya lile tukio ma yeye hakuwahi kunipigia wala kunitumia sms
Sasa nashangaa leo amenipigia eti analaumu nimempotezea, mara anaomba nimsamehe kwa yaliotokea....
Sasa hapa simuelewi anataka nini....
Je inaweza kutokea kweli akawa anajutia alichokifanya?
 
Haiwezekani ndokwanza uonanenae mtu humjui ulalenae istoshe umle papuchi ndokwanza munakutana yani starehe ya dakika moja utajuta maisha yako yote ngoja upate ukimwi nadhani unawaza ngono tu
 
Nina umri wa Mtu mzima afu siyo mwanaume wa Dar....
wanaume wa dar angekua ashamla na tusingekuja kuomba ushaur wa kis**ge
kwakua ni wa mkoani basi ngoja wenzako wenye mapenz ya kihindi waje kukushauri utakavyomla baada ya miaka 3
 
Wakuu niende kwenye topic

kuna Demu Mmoja ivi tulikutana nae Maeneo ya chuon yeye ni 1st year tulipanda nae gari moja kwenda chuoni katika kupga stori akaniomba namba nikampa baada ya kushuka kwenye kituo cha daladala kila mtu kaenda zake ila cha ajabu kufikia mida ya saa tatu usiku nikapigiwa simu na namba ngeni kupokea aliepga akajitambulisha kuwa ni dada tuliepanda nae daladala moja kwenda chuon na aliomba nionane nae mda ule...

Basi bana kama kawaida kidume sikuload... nikamwambia tuonane maeneo fulani ivi mda c mrefu akanipgia simu kuwa tayar ameshafika..

Kufika nikamkuta kweli mtoto katupia kigauni kifupi na marashi hatari.. Mashalaah ni mtoto kweli..!

Baada ya baada ya salamu mtoto akaniuliza samahani kakangu kwa usumbufu mda ule sikukumbuka hata kukuulizia hata jina lako nikamwambia usjali mi naitwa. .......

Nawe mwenzangu unaitwa nan akinijibu anaitwa Neema.

Baada ya utambulisho mtoto akaniuliza kk samahan kwa usumbufu room kwako unakaa na nan?
Kwa bahati nzur nilikuwa peke yng siku hyo nikamwambia nipo peke angu
Akaniambia samahn kk wenzangu wameondoka na funguo unaweza kunihifadhi nilale room kwako?..
Nikasema poa!

tukaongozana nae kwenda rom kwngu baada ya mda wa kulala kufka nikamwonesha pakulala nikamwambia mi nataka nikalale kwa jamaa yangu kama kumpima kumbe nilikuwa nazuga ili kupima imani yake atasemaje kwani ninalo shuka moja la kujifunika akaniambia nisijal tutajifunika wote hilo moja
Hapo kimoyomoyo nikajisemea leo nimepata zari sasa tumeingia kulala nikajisemea hii ndo chance mwenzio nikaanza kumpa maneno matamu huku nikimtomasa kwa utundu cha ajabu mtoto hanielewi mara akaanza kulia na kuanza kusema wenzangu wasingenifungia nisingekuja huku kupata taabu hizi ....
Duu hadi nikajikuta napatwa na huruma na kujutia nilichotaka kufanya nikaona isiwe nouma nikamtuliza baada ya yeye kutulia nakurudi kulala

nikamgeuzia mgongo nikapga usingizi hadi kesho yake asubuhi

Ndo nikaskia sauti yake ikinisalimia asubuhi na kuniuliza nimelalaje ndo nikastuka baada ya kuamka nikapga mswaki nayeye nikamchotea maji baada ya kuswaki nikamsindikiza nayeye akaenda zake....
Nakumbuka mida tunatoka washikaji tuliokutana nao walinipongeza kwa kuonekana natoka na chombo kikali room kwangu mida ile kwani walijua nililala nacho
Kudadeki kiroho kiliniuma nikikumbuka kilichonitokea sijalamba kitu...
Nikaamua kudeleta namba yake pale pale na kuendelea na mishe zangu
Sikuwaza kumtafta tena....

Cha ajabu zimepita wiki mbili baada ya lile tukio ma yeye hakuwahi kunipigia wala kunitumia sms
Sasa nashangaa leo amenipigia eti analaumu nimempotezea, mara anaomba nimsamehe kwa yaliotokea....
Sasa hapa simuelewi anataka nini....
Je inaweza kutokea kweli akawa anajutia alichokifanya?
Kama ni kweli basi huyo binti harudi tena kwako kuja kulala hadi amekuja kwako alishajiandaa kwa yote toka kwako
NB;sihamishi uzinzi tafadhali
 
Back
Top Bottom