super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 532
Mwaka Jana mwezi 12 nilikutana na Dada mmoja katika moja ya mitandao ya kijamii na tukaanzisha mahusiano Mimi Niko mkoani yeye yuko dar es salaam.
Mwaka huu mwezi wa pili nilionana na huyu Dada jijini Dar baada ya kwenda mishemishe kwa muda wa mwezi mmoja.
Kipindi nawasiliana na huyu bidada nilishawai mgusia swala la kum hack nijue anawasiliana na nani nilimwambia Nina uwezo wa kufanya hivyo(truly siwezi)alikataa kabisa na nikamwambia kuna kitu anaficha yes akakili kua anawasiliana na ex wake akaomba msamahe yakaisha.
Nilivorudi mkoani nikagusia tena kuhusu kum hack akakataa kabisa nikajua kuna kitu siku iyo usiku nikajifanya mechanganyikiwa baada ya kumhack nilianza kulalamika kwanini kanifanyia aliofanya.Aliuliza kama memuhack nikasema yes
Alianza kulalamika ila mwisho akakiri kutoka na mume wa MTU na sababu kubwa ni ugumu wa maisha sababu kwao anaishi na mama yake na wadogo zake na wote wanamtegemea yeye amekiri kosa kalia sana anaomba asamehewe anasema hawezi kufanya ivo tena.
NB:nilipanga mwaka huu nikajitambulishe kwao nimuoe ila mpaka sasa sijui nifanyaje ingawa nilikutana nae mtandaoni nilitokea kumuamini sana sana sana.
Anaomba msamaha anasema kajutia kosa lake na SIJUI NIFANYE NINI.
Nisaidieni ushauri wakuu.
Mwaka huu mwezi wa pili nilionana na huyu Dada jijini Dar baada ya kwenda mishemishe kwa muda wa mwezi mmoja.
Kipindi nawasiliana na huyu bidada nilishawai mgusia swala la kum hack nijue anawasiliana na nani nilimwambia Nina uwezo wa kufanya hivyo(truly siwezi)alikataa kabisa na nikamwambia kuna kitu anaficha yes akakili kua anawasiliana na ex wake akaomba msamahe yakaisha.
Nilivorudi mkoani nikagusia tena kuhusu kum hack akakataa kabisa nikajua kuna kitu siku iyo usiku nikajifanya mechanganyikiwa baada ya kumhack nilianza kulalamika kwanini kanifanyia aliofanya.Aliuliza kama memuhack nikasema yes
Alianza kulalamika ila mwisho akakiri kutoka na mume wa MTU na sababu kubwa ni ugumu wa maisha sababu kwao anaishi na mama yake na wadogo zake na wote wanamtegemea yeye amekiri kosa kalia sana anaomba asamehewe anasema hawezi kufanya ivo tena.
NB:nilipanga mwaka huu nikajitambulishe kwao nimuoe ila mpaka sasa sijui nifanyaje ingawa nilikutana nae mtandaoni nilitokea kumuamini sana sana sana.
Anaomba msamaha anasema kajutia kosa lake na SIJUI NIFANYE NINI.
Nisaidieni ushauri wakuu.