Ndio mtajua Sasa, mlivyobambikia mlifikiriaje🤔.Hizo ni mbwembwe za kumtishia jaji
Ndio mtajua Sasa, mlivyobambikia mlifikiriaje🤔.Hizo ni mbwembwe za kumtishia jaji
Mbowe anaendelea kuwa shujaaNdio mtajua Sasa, mlivyobambikia mlifikiriaje🤔.
Bwashee Fitna Unaziweza Sana
Mbona wakatamiti wa Mbowe wangekata na ya hapo Mikumi mbugani! Askari wa gemu wangewapa ulinzi.Mikumi kuna wanyama wakali,asisingizie hakupewa ulinzi
Ndiyo Ukweli WenyeweHuyu ni mlozi wa kiwango cha SGR,hata Kuku akikatiza maeneo yake uhai wake unakuwa shakani.
Hujaacha unafiki tu.Pigo alikupa MUNGU unatamani akuongezee tena.Hizo ni mbwembwe za kumtishia jaji
Vicente Kasala amechukua nafasi ya Suphian Juma aliyokuwa nayo ACT kabla ya kujiunga CCM.Jamani watu wana maneno, duuh
View attachment 2182314