johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,911
- 141,862
Jonas Akandunduma anasafiri kwa baiskeli kutokea Tunduma kuja kusikiliza kesi ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe jijini Dar es salaam.
Taarifa zaidi zitatolewa atakapowasili kwa sababu za kiusalama zaidi.
Mungu wa mbinguni ambariki ndugu Akandunduma!
Taarifa zaidi zitatolewa atakapowasili kwa sababu za kiusalama zaidi.
Mungu wa mbinguni ambariki ndugu Akandunduma!