KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 109
Habari zenu wana jamii, mi naomba kuelimishwa juu ya hili swala la kukumbushana siku ya kuzaliwa haswa kwa wapenzi, je mmoja wapo anaposahau kumpa heri ya siku ya kuzaliwa mpenziwe inaonyesha hampendi, hana umuhimu saana au kapitiwa tu?