johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,627
Mbowe alishatangaza kustaafu nafasi ya Mwenyekiti ifikapo 2023 na alitamani sana nafasi yake irithiwe na Mwanamke toka Bawacha
Tangazo hilo alilitoa katika mkutanio wa Bawacha pale Mlimani City enzi za Halima Mdee
Unadhani Mbowe anaacha legacy gani katika utumishi wake kama Kiongozi mkuu wa Upinzani nchini?
Mungu ni mwema wakati wote
Tangazo hilo alilitoa katika mkutanio wa Bawacha pale Mlimani City enzi za Halima Mdee
Unadhani Mbowe anaacha legacy gani katika utumishi wake kama Kiongozi mkuu wa Upinzani nchini?
Mungu ni mwema wakati wote