Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,606
Hahahahaha hio ni “FoodMonger“ ya abuja 😂😂😂 inakula kama mdudu wa mbao yuleHii situation nilishawahi kuiona. Kuna sampuli ya chuo ilikuwa ikija weekend kuchill from Friday to Monday. But nikanotice tabia kama hizo.
Ilikuwa kwanza ina ulafi wa kijinga sana. Imagine sampuli inapiga ile chupa ya coca-cola ya lita 2 yote bila mimi kunipa collaboration yoyote.
Yaani anakata chupa nzima ile kuanzia asubuhi hadi jioni chupa inakuwa tupu. Ukiweka vitu vidogo vidogo kama bites akiwa anaondoka anapakia kwenye pochi chupa mbili za takeaway soda, mara abebe sijui nini. Nikahisi pengine ni kukosa pocket money nikawa nampatia ila wapi.
Sasa nikaja kujifunza kuna watu wako poor na empty in home training. Hawakufunzwa ukarimu na kujali wengine. Pia hawakufunzwa au kuelewa manners ili kubehave vizuri.