Nipo hapa mama...Ila tupo wa nne wenye Sifa tofaut tofaut Kama hizo ukituunganisha ndo Unapata Mimi mmoja...lekebisha grammar ya sentence af elewa
Nakazia hapaAnaejua kusamehe nini? Mwanamke hatakiwi kukosea
Sifa zote hizo ninazo, lakini mbo yakienda kinyume na sifa zangu zinakuwa kinyume chake pia!
Duh!!!!Anaejua kusamehe nini? Mwanamke hatakiwi kukosea
Perfection is boring, imperfection is human
Hahahahaah hahahahaah shenzi kabisawanawake wana bunge lao la kushauriana, spika km ndungai na wabunge ni ccm. 😆😆