Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Habarini washikadau wangu wa nguvu, naomba kuuliza kuna uwezekano wowote mtu kufuatilia mambo yako unayochat kwenye groups mbalimbali kupitia kwenye email yako, ikiwa anaifahamu na password.
Kwa kifupi kwenye group hayupo,lakini ananiambia kila kitu kinachoendelea kwenye group,hyo inawezeka? au kuna mtu anamwambia kinachoendelea kwa group? au ana account mbili za whatsapp yupo kwenye group bila kujua, au kuna njia unaweza kutumia mtu kufuatilia msg zako za whatsapp
naomba msaada wenu,
Na samahanini kwa usumbufu,
Kwa kifupi kwenye group hayupo,lakini ananiambia kila kitu kinachoendelea kwenye group,hyo inawezeka? au kuna mtu anamwambia kinachoendelea kwa group? au ana account mbili za whatsapp yupo kwenye group bila kujua, au kuna njia unaweza kutumia mtu kufuatilia msg zako za whatsapp
naomba msaada wenu,
Na samahanini kwa usumbufu,