DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
Ni kama kutahiriwa kama hujawahi huwezi kusimulia maumivu yake huyu hajatahiriwa siku akitahiriwa atakuwa akili...kwa kila mwanaume aliyewahi kupenda na akaachwa huwa haulizi mara mbili huyu bwana kaanzia mapenzi ukubwaniHabari wadau. Kuna mtu wangu wa karibu amenifuata akitaka ushauri juu ya mahusiano yake. Anajiuliza kama anaweza kumuacha mpenzi wake au aendelee nae.
Nawasilisha.