Ananitia hasira

Mamushka

JF-Expert Member
Feb 17, 2010
1,595
99
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri shule kaenda kaelimika, aliniambia angependa awe na mimi kama wapenzi, ukweli nilimwambia NO siwezi ninamambo mengi sana hilo nimeamua kuliweka kando kwanza, akawa muelewa akasema poa bt lets be good friends nikakubali tukawa tuna chat, na hata alisha wahi ni invite mara kadhaa kwa drinks then kilamtu anacha lapa home, mimi kuna vitu vinaniudhi sana toka kwake, anaweza kunipigia sim ananiita my honey, au my darii yani kwanza kuniita my honey hua inanibore sana, then my darii ndo kabisa kwasababu mara ya kwanza nilikua sijui ana maanisha nini (darii), nabaki na uliza mara mbili mbili umesemaje? Ndo sananiambi sorry nimekuita mpenzi, anaweza akanipigia kunisalimia then anauliza unafanya nini na mwambia, halafu yeye ananiambia mi niko home nimemaliza kura warii na nyama na viazi mvilingo, sasa mi anavyoongea ananiudhi, kuna siku tulikutana kwa drinks tukiwa group, kila saa anacheua mbele yetu hata hasemi excuse me, mi ananiudhi bwana mpaka nikamwambia uwe una sema hata sorry, akasema sawa hata mdada mwingine juzi kanikataza kunya kitu kama soup au chai na vuta kwa sauti na mdomo fyuuuu, lakini mi naona hawezi kuacha sijui, au mi ndo nafanya dhambi navyo udhika mnisamehe kama wapo wa tabia hiyo pengine si mimi tu ninaekerwa na tabia hiyo. JESUS IS MY HOME BOY.
 
Mumushika pole sana my dear, huyo rafiki yako unatakiwa umshauri pole pole anahitaji mwongozo wako wa karibu sana. Ni hayo tu
 
Mamushka darling,usiudhike kwa huyo mkaka kukuita hizo pet names,sidhani kama zina effect yoyote kwani hata wewe naamini kuna saa huwa unazitumia kwa friends wako,though yeye alishatangaza nia lkn haimaanishi kuwa kukuita hivyo ndo imeshakuwa kweli,,lol

Swala la kucheua,kuvuta chai n the like ni swala la manner tu,watu wengi hawalijui lkn pia lisikuudhi take easy mweleweshe taratibu tena kwa maelezo yako anaonekana ni mtu wa kubadilika,atabadilika na atakuwa gentleman.Hata kama hutaki kuwa nae usimchukie,mjenge ktk hizo weakness ili ata ajivunie kuwa na rafiki kama wewe.
Cheers
 
Duh mamushka pole sana; najua hiyo inavyoweza kukera hasa la kupumua/cheua pia kusema "excuse moi"....but la lafudhi, loh, sasa hiyo sidhani kama utamlaumu yeye au utalaumu lugha ya mama (mother tongue), si unajua kila lugha ila special sounds zake, na tunapojifunza/ongea lugha zingine, lafudhi zetu zinajiingiza bila sisi kujijua...jamani mbona kila lugha ina sinema zake? Ningekuwa jasiri, ningeweka kiswahili changu cha kikabili hapa, ila ndio hivyo, naogopa kufahamika mie....mvumilie kama kweli rafiki yako na mfundishe pole pole kubadilika, si unajua tena ku-change ni kazi ngumu sana....more than academic degree
 
Kumbe si mbabaishaji, ni mshamba mshkaji... (nadhani ni wimbo wa J-nature)

Hivyo v2 vidogo atabadilika, ila inaonekana hata akibadilika hutampenda. Ina maana hujatongozwa na ambaye unampenda. Kama inawezekana tafuta unayempenda muwe pamoja, usijidanganye kuwa una mambo mengi kwa sasa. Nafasi ya mapenzi haizibwi kwa vitu vingine. usipomtafuta mwenyewe kwa sasa, ndo ivyo mwili na roho vitajikuta vimeshaangukia kwa mtu ambaye humpendi kama huyo

(Ila huu ni ushauri wa mwandawazimu tu)...
 
Jamaniiiiiiiiiiiii....
Kuhusu hayo maneno akuitayo ni maneno tu ya kuongeza utamu kwenye maongezi. hata mi samtyms huyatumia kwa wadada tunaofahamiana kwa muda..(but honey...!!!!!!)..sanasana, swty, my dia, mrembo..etc...
Kuhusu hizo table manners and etiquette...ni vitu ambavyo mtu unaeza kuwa umesoma sana lakini u never learnt coz hamfundiwshwi darasani. Ongea naye..fanya wewe kwa vitendo, vitu kama hivyo. Does he have friends? do u know them? how do they behave? let them help him too..
KUMBUKA: ni rafiki tu, hapaswi kukuudhi kiivyo..unress, mayb, u are srowry farring!lol
 
Kama ni kweli unamchukulia kuwa ni rafiki yako, tafuta namna ya "kumstaarabisha" kwa upole. Yaani try to be diplomatic and polite, kwa mfano jaribu kucheua mbele yake halafu mwambie 'excuse me". Kama haelewi, jaribu kumvumilia na kurudia mbinu mbali mbali za kumstaarabisha, ipo siku atajua na ataacha. Hata kunywa chai na kuvuta pumzi kama anapiga mluzi, unaweza kumfundisha akaacha. Be open to him, but in a polite/diplomatic way.

Siku moja nilikuwa nakula na mtu anayegonga kijiko kwenye sahani. Mimi ikawa inani-bore kuona kila anapoingiza kijiko au umma kwenye sahani kuna kamlio kanatoka. Sikuweza kulalamika kwa vile nilikuwa namuogopa, ila nikasema kwa upole, "hizi sahani za udongo zinapiga kelele, afadhali za plastic" Jamaa aliniangalia vibaya, lakini baadaye aliacha hako kamtindo.
 
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri shule kaenda kaelimika, aliniambia angependa awe na mimi kama wapenzi, ukweli nilimwambia NO siwezi ninamambo mengi sana hilo nimeamua kuliweka kando kwanza, akawa muelewa akasema poa bt lets be good friends nikakubali tukawa tuna chat, na hata alisha wahi ni invite mara kadhaa kwa drinks then kilamtu anacha lapa home, mimi kuna vitu vinaniudhi sana toka kwake, anaweza kunipigia sim ananiita my honey, au my darii yani kwanza kuniita my honey hua inanibore sana, then my darii ndo kabisa kwasababu mara ya kwanza nilikua sijui ana maanisha nini (darii), nabaki na uliza mara mbili mbili umesemaje? Ndo sananiambi sorry nimekuita mpenzi, anaweza akanipigia kunisalimia then anauliza unafanya nini na mwambia, halafu yeye ananiambia mi niko home nimemaliza kura warii na nyama na viazi mvilingo, sasa mi anavyoongea ananiudhi, kuna siku tulikutana kwa drinks tukiwa group, kila saa anacheua mbele yetu hata hasemi excuse me, mi ananiudhi bwana mpaka nikamwambia uwe una sema hata sorry, akasema sawa hata mdada mwingine juzi kanikataza kunya kitu kama soup au chai na vuta kwa sauti na mdomo fyuuuu, lakini mi naona hawezi kuacha sijui, au mi ndo nafanya dhambi navyo udhika mnisamehe kama wapo wa tabia hiyo pengine si mimi tu ninaekerwa na tabia hiyo. JESUS IS MY HOME BOY.
Sijakuelewa kabisa hapo.......
 
Mamushka pole naona una hasira kweli kweli maana hata nukta hujaweka story nzima hadi mwisho. Punguza hasira kidoko mistari iwe na kina , colon, semi colon ,and full stop kwa kiswahili .

Hii inaitwa at-equate .. ni kukosa table mannerism.Inafunzishika kirahisi sana dadangu. BTW Watz wengi hawajui hayo.Unakuta mtu anavuta nyama choma kwa meno kama manati pwaa. halafu mnakula wote.
 
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri shule kaenda kaelimika, aliniambia angependa awe na mimi kama wapenzi, ukweli nilimwambia NO siwezi ninamambo mengi sana hilo nimeamua kuliweka kando kwanza, akawa muelewa akasema poa bt lets be good friends nikakubali tukawa tuna chat, na hata alisha wahi ni invite mara kadhaa kwa drinks then kilamtu anacha lapa home, mimi kuna vitu vinaniudhi sana toka kwake, anaweza kunipigia sim ananiita my honey, au my darii yani kwanza kuniita my honey hua inanibore sana, then my darii ndo kabisa kwasababu mara ya kwanza nilikua sijui ana maanisha nini (darii), nabaki na uliza mara mbili mbili umesemaje? Ndo sananiambi sorry nimekuita mpenzi, anaweza akanipigia kunisalimia then anauliza unafanya nini na mwambia, halafu yeye ananiambia mi niko home nimemaliza kura warii na nyama na viazi mvilingo, sasa mi anavyoongea ananiudhi, kuna siku tulikutana kwa drinks tukiwa group, kila saa anacheua mbele yetu hata hasemi excuse me, mi ananiudhi bwana mpaka nikamwambia uwe una sema hata sorry, akasema sawa hata mdada mwingine juzi kanikataza kunya kitu kama soup au chai na vuta kwa sauti na mdomo fyuuuu, lakini mi naona hawezi kuacha sijui, au mi ndo nafanya dhambi navyo udhika mnisamehe kama wapo wa tabia hiyo pengine si mimi tu ninaekerwa na tabia hiyo. JESUS IS MY HOME BOY.

Hapo kwenye RED, najaribu kusoma between herufi, nashindwa kupata connection!hata hivyo, naona kama kuna issue za ujana sana kama sio utoto mwingi kimtindo!Nawasilisha
 
Mamushka dia Kila mwanadamu anatabia ambazo zinakera wengine/wenzake ambazo mara nyingi m2 anakua amezaliwa nazo ila hajijui so kwa hz ulizozitaja za hy mkaka nimojawapo ila zinarekebishika msaidie kama rafiki yako na naamini ataacha
 
Pole..... Kaazi kweli... Ongea nae kwa utaratibu! atakuelewa. Ila kumbuka watu wa namna hiyo, mwishowe anakuwa ndio mumeo.....
 
Tehe Mamushka umepatikana, nakwambia siku utakayokuja kumpenda huyo jamaa utasahau kila kituuuuu. Hehehe kuna watu walichukiana siku za mwanzo wakapelekana mpaka Polisi lkn sasa hivi wana watoto kadhaa, huwezi jua upepo utabadirika lini hahha,. Mweee vijitabia navyo vinakeraaaa utakuta dada mzuriii lkn haishi kuchokonoa chokoa mapua anatoa kamasi tena na mkono wa kulia ptuuuuuu, au kamasi anavutia mdomoni km makohozi halafu anameza au anatema barabarani ptuuuuuuu. Mwingine mnakula anabeua tu km huyo hata sorry hasemi. mwingine anatoa tongo tongo na mkono wa kulia halafu mko mnakula POP CORN anachota na KONo lake CHAAAAFUU aaaaaaaaaaghrrrrrrr
 
Mamushka dia Kila mwanadamu anatabia ambazo zinakera wengine/wenzake ambazo mara nyingi m2 anakua amezaliwa nazo ila hajijui so kwa hz ulizozitaja za hy mkaka nimojawapo ila zinarekebishika msaidie kama rafiki yako na naamini ataacha
Mh yani mpaka nlikua najiuliza sijui nimchunie, kumwambia sana naona aibu.
 
Mamushaka,,, mi niulize tu kwamba are you that perfect?

kwa mtizamo wangu, umekuwa too judgemental.....na huenda pia too normative...kama ni rafiki yako tu wa kawaida, na sio mpenzi, mbona inakuwa inakuudhi hivyo hizo manners zake? ujue ambacho wewe unakiona kama weakness kwako, kwa mwengine kinaweza kisicount

una mpango wa kumpenda baadaye? kama ndio, mchukulie taratibu....usimwone kama ni too 'barbaric' the way ulivompotray hapa...
 
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri shule kaenda kaelimika, aliniambia angependa awe na mimi kama wapenzi, ukweli nilimwambia NO siwezi ninamambo mengi sana hilo nimeamua kuliweka kando kwanza, akawa muelewa akasema poa bt lets be good friends nikakubali tukawa tuna chat, na hata alisha wahi ni invite mara kadhaa kwa drinks then kilamtu anacha lapa home, mimi kuna vitu vinaniudhi sana toka kwake, anaweza kunipigia sim ananiita my honey, au my darii yani kwanza kuniita my honey hua inanibore sana, then my darii ndo kabisa kwasababu mara ya kwanza nilikua sijui ana maanisha nini (darii), nabaki na uliza mara mbili mbili umesemaje? Ndo sananiambi sorry nimekuita mpenzi, anaweza akanipigia kunisalimia then anauliza unafanya nini na mwambia, halafu yeye ananiambia mi niko home nimemaliza kura warii na nyama na viazi mvilingo, sasa mi anavyoongea ananiudhi, kuna siku tulikutana kwa drinks tukiwa group, kila saa anacheua mbele yetu hata hasemi excuse me, mi ananiudhi bwana mpaka nikamwambia uwe una sema hata sorry, akasema sawa hata mdada mwingine juzi kanikataza kunya kitu kama soup au chai na vuta kwa sauti na mdomo fyuuuu, lakini mi naona hawezi kuacha sijui, au mi ndo nafanya dhambi navyo udhika mnisamehe kama wapo wa tabia hiyo pengine si mimi tu ninaekerwa na tabia hiyo. JESUS IS MY HOME BOY.
Ukishaona unaanza kuvichukia na kutaka kuvirekerebisha vitabia vya huyo mkaka........basi.............ujuwe............UMEMNDONDOKEA........ (tamka kwa lafudhi ya kisukuma tafadhari)............

Pamoja na hayo...........KUMBUKA............ huwezi kumpata atakaye-fit 100% ya vigezo unavyovihitaji wewe.......... ikizidi saaaaaaaaanaaaaaa utapata 80%
 
Back
Top Bottom