Sio salama kabisa aiseeHahahahah pole sana chukua sabun zina msaada muda mwingine
Kwa mtoto Mashaka asilimia 70 aisee huenda anahofia kumuharbu mwanaeHata ivo wanawake wengi mara baada ya Kujifungua miezi mitatu ya mwanzo
Hupoteza hamu ya Ngono nahii ni sababu vichocheo vya ngono vinakua vipo chini sana.
Badala yake hujikuta mapenzi wanahamishia kwa watoto wao.
Lkn pia, Inaweza kua mtoto sio wako. Mf mtoto anamiezi zaidi ya sita. Lkn mtu anakunyima unyumba katukatu..haaaaa Changamka.
Sasa sijui ww unaangukia wapi Ndugu...nani anajua???
Uchumi mkuu maisha ya dar konyooa mke wa pili
Ni mkeo wa ndoa?? Au njoo tuishi??Kwa mtoto Mashaka asilimia 70 aisee huenda anahofia kumuharbu mwanae