Habari wana jamvi
Nina(follower) rafiki mmoja wa kike kwenye mitandao ya kijamii,hatujawahi kuonana uso kwa uso, bali kupitia mitandao ya kijamii
Alipokuwa anapost picha nilikuwa namsifia alivyo mzuri kuliko wanawake wote duniani,ziwe post za public namsifia,muda mwingine naenda pm namsifia anabaki kucheka na kufurahi kwa kutumia emoji
Sijawahi kumtongoza,maana sina tabia ya kutongoza wanawake kwenye mitandao ya kijamii,bali kuwa sifia tu
Sasa siku za hivi karibuni nilisitisha huduma ya kumsifia,imekuwa taabu kwangu,mwanamke analalamika kuwa simsifii siku hizi,anajisikia vibaya mimi kutomsifia
Wanawake mungu anawaona,mnataka msifiwe na hata wasiojulikana
Nina(follower) rafiki mmoja wa kike kwenye mitandao ya kijamii,hatujawahi kuonana uso kwa uso, bali kupitia mitandao ya kijamii
Alipokuwa anapost picha nilikuwa namsifia alivyo mzuri kuliko wanawake wote duniani,ziwe post za public namsifia,muda mwingine naenda pm namsifia anabaki kucheka na kufurahi kwa kutumia emoji
Sijawahi kumtongoza,maana sina tabia ya kutongoza wanawake kwenye mitandao ya kijamii,bali kuwa sifia tu
Sasa siku za hivi karibuni nilisitisha huduma ya kumsifia,imekuwa taabu kwangu,mwanamke analalamika kuwa simsifii siku hizi,anajisikia vibaya mimi kutomsifia
Wanawake mungu anawaona,mnataka msifiwe na hata wasiojulikana