Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,159
,Kwanza mi kuombaomba ela kwa mtu wangu mzito sana, makuzi yangu kota, siwez kusema sehemu gani ila Moro, zamani nilikuwa sujajiunga humu kuna uzi mtu mmoja kamuongelea mzee wangu humu, mi sikukulia kutegemea kupewa na bwana, au kuombaomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wait, kuna mtu alimuongelea mzee wako kwa mema au mabaya?